Forbes1990
JF-Expert Member
- Apr 14, 2018
- 513
- 989
Kwa mtu ambae kaishia darasa la Saba au form 4 atabeza matakwa ya vijana
Kwasisi watoto wa masikini ambao tulipitia vyuo kwa kuunga unga tunaelewa concern ya vijana wenzetu. Maisha ni magumu mno, ni vile tu hii nchi mtu akiwa kashiba hamkumbuki mwenye njaa. Hakuna kipindi mtu unakatia tamaa masomo, maisha na kujiona mfu Kama kipindi uko chuo huna uwezo wa kifamilia na hela yako ya boom hupewi wakati Kuna gharama za kila siku zinaendelea.
Kuna Stationary costs zipo kila siku. Bado kula , kufua nguo na accommodation (sehemu ya kuishi )
Napitia humu naona Kuna wachache sijui wametumwa wanajaribu kuleta siasa kwenye maisha ya watu
Njaa haina baunsa, kipindi hicho Mimi nilikuwa nimefikia hatua Bora nife kwa kudai haki yangu. So Ndalichako usichukulie poa jua unaongea na watu wenye njaa. Njaa inamuondolea mtu matumaini ya maisha
Tumieni Busara kulimaliza hili sote ni watanzania kwanini tutishane kwa vitu justifiable.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasisi watoto wa masikini ambao tulipitia vyuo kwa kuunga unga tunaelewa concern ya vijana wenzetu. Maisha ni magumu mno, ni vile tu hii nchi mtu akiwa kashiba hamkumbuki mwenye njaa. Hakuna kipindi mtu unakatia tamaa masomo, maisha na kujiona mfu Kama kipindi uko chuo huna uwezo wa kifamilia na hela yako ya boom hupewi wakati Kuna gharama za kila siku zinaendelea.
Kuna Stationary costs zipo kila siku. Bado kula , kufua nguo na accommodation (sehemu ya kuishi )
Napitia humu naona Kuna wachache sijui wametumwa wanajaribu kuleta siasa kwenye maisha ya watu
Njaa haina baunsa, kipindi hicho Mimi nilikuwa nimefikia hatua Bora nife kwa kudai haki yangu. So Ndalichako usichukulie poa jua unaongea na watu wenye njaa. Njaa inamuondolea mtu matumaini ya maisha
Tumieni Busara kulimaliza hili sote ni watanzania kwanini tutishane kwa vitu justifiable.
Sent using Jamii Forums mobile app