johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
- Thread starter
- #41
Hahahaaaa...... Bavicha wataliiba kweli bwashee!Hahaha jamaa umenivunja mbavu aisee, naimagine unavyoliiba, litakuwa zito sana nahisi. Halibebeki
Hahahaaaa...... Bavicha wataliiba kweli bwashee!Hahaha jamaa umenivunja mbavu aisee, naimagine unavyoliiba, litakuwa zito sana nahisi. Halibebeki
Jinyonge ufe au kaziibe hizo pesa ukajenge kwenu mwana izaya wwUjinga umetamalaki nchi hii, eti wanamjengea sanamu dhalimu mwendazake!!!! Kwa lipi hasa?
Bomoa Bomoa, udikteta, kubambikia watu kesi FAKE na kisha kuwapora billions zao? Kuwapora wenye maduka ya pesa za kigeni Arusha na Dar?
Kuteka, kutesa na mauaji ya kutisha?
Yaani huyu naye sijui vipi...professor mzima bado anaendeleza mapambano na marehemu...duhMbunge wa Msoma vijijini Prof Muhongo amesema siyo kumbukumbu nzuri kumtengenezea sanamu marehemu au hayati na badala yake ni kheri fedha hizo zikatumika kujenga taasisi ya kuhudumia jamii kwa ajili ya kumbukumbu ya huyo anayetakiwa kukumbukwa.
Source: Tanzania Abroad tv
Usiseme Marehemu Sema MWENDAZAKE. Nyambafuuuuu we!!Maslahi yake binafsi ya kuhujumu nchi yaliminywa na marehemu ndio maana alipinga kila mradi ulioanzishwa na merehemu kuanzia stigler gorge .
Duniani kote wakuu wa nchi walioacha alama za kudumu wamejengewa sanamu za ukumbusho.
Sio Marehemu ni MWENDAZAKEYaani huyu naye sijui vipi...professor mzima bado anaendeleza mapambano na marehemu...duh
Ana uchungu mpaka anaogopa sanamu yake, ingetakiwa iwekwe kwenye lango la kuingilia bungeni ili aweweseke kila akiingiaHuyu mzee bado ako na uchungu na Marehemu.
au wampige shot ya umeme kwenye mbupu,😄😄😄😄Amin Wala hakuwa hivyo Kama tunavyoaminishwa mkuu
Magufuli anastahili abinywee...mbupu huko aliko
Njemba hii bonge la kiazi......Ujinga umetamalaki nchi hii, eti wanamjengea sanamu dhalimu mwendazake!!!! Kwa lipi hasa?
Bomoa Bomoa, udikteta, kubambikia watu kesi FAKE na kisha kuwapora billions zao? Kuwapora wenye maduka ya pesa za kigeni Arusha na Dar?
Kuteka, kutesa na mauaji ya kutisha?
Wangenunua hata madawati wakayaita kwa jina la marehemu ingekuwa bora zaidiMbunge wa Musoma vijijini, Prof Muhongo amesema siyo kumbukumbu nzuri kumtengenezea sanamu marehemu au hayati na badala yake ni kheri fedha hizo zikatumike kujenga taasisi ya kuhudumia jamii kwa ajili ya kumbukumbu ya huyo anayetakiwa kukumbukwa.
Chanzo: Tanzania Abroad tv
Ni kusanyiko la wahuniMataga ni wajinga sana
Hii ni reply nzuri sana Toka kuanzishwa kwa JF.Hiyo pesa ingetumika kuazzisha taasisi huru itakayoitwa Magufuli. Taasisi itakayotoa mafunzo ya utawala bora.
Jina la marehemu litukumbushe na kutufundisha ubaya wa udikteta. Matukio yote mabaya aliyoyafanya marehemu yatumike kama mifano ya utawala mbaya.
Wananchi tupo tayari hata kuchanga kwaajili ya kuanzisha taasisi hiyo.
Hapa tuchukue na lile gari la Tundu Lisu lilitobolewa na risasi tuweke kwenye hii maktaba/Taasis, Nguo za kina Alphonce Mawazo, Aqwilina Aquiline, Azory Gwanda,Ben Saanane nk,Kungekuwa na namna ule uwanja wa chato na huo msitu wa burigi tungeuweka ndani ya hiyo Maktaba/Taasis, Halafu mlangoni mwa Maktaba tuwakaushe Makonda na Sabaya wawe sanamu lake la ulinziHiyo pesa ingetumika kuazzisha taasisi huru itakayoitwa Magufuli. Taasisi itakayotoa mafunzo ya utawala bora.
Jina la marehemu litukumbushe na kutufundisha ubaya wa udikteta. Matukio yote mabaya aliyoyafanya marehemu yatumike kama mifano ya utawala mbaya.
Wananchi tupo tayari hata kuchanga kwaajili ya kuanzisha taasisi hiyo.
Acha ujuha! JPM na hata wa sasa wote ni nincompoops.Wauza ngada na wenye vyeti feki wakiona jina la mwamba Jpm wanakohoa damu ..uzuri mtaani wananchi wanajua sana hila zenu siku hizi na data zenu za kuchemsha. Nani kama JPM???