Profesa Muhongo: Siyo haki kutengeneza sanamu kama ishara ya kumkumbuka marehemu, ingejengwa taasisi ya huduma za kijamii

Hiyo pesa ingetumika kuazzisha taasisi huru itakayoitwa Magufuli. Taasisi itakayotoa mafunzo ya utawala bora.

Jina la marehemu litukumbushe na kutufundisha ubaya wa udikteta. Matukio yote mabaya aliyoyafanya marehemu yatumike kama mifano ya utawala mbaya.

Wananchi tupo tayari hata kuchanga kwaajili ya kuanzisha taasisi hiyo.


Chagua moja...


Ama
 
Ana point
Kina JK na Hayati Nyerere na BM wameacha foundations, tena mmakonde kaacha kumbukumbu ya afya kubwa, na JK.

Everyday is Saturday.............................. :cool:
 
Hiyo pesa ingetumika kuazzisha taasisi huru itakayoitwa Magufuli. Taasisi itakayotoa mafunzo ya utawala bora.

Jina la marehemu litukumbushe na kutufundisha ubaya wa udikteta. Matukio yote mabaya aliyoyafanya marehemu yatumike kama mifano ya utawala mbaya.

Wananchi tupo tayari hata kuchanga kwaajili ya kuanzisha taasisi hiyo.
... ha ha ha! We jamaa ha ha ha! Eti jina la marehemu litukumbushe madhila ya udikteta!
 
Hakuna jina linanichefua kama kuitwa Magufuli terminal maamaae.

Ile mbezi Terminal sounded way too better.
Lakini kwakua kuna wapumbavu kutwa kujikomba komba basi ndo hivyo. Ni kwanini sisi watanzania wajinga hivi? Kwanini mambo ya kijamii na huduma tunazoletewa na serikali inainekana mama vile tunafanyiwa favour wakati ni kodi zetu? Kiongozi hupeleka pesa kutokana na mahitaji husika. Huu ujinga ufe. Kwani nikimkumbuka ndo napata hela? Mfieew.

Pole mwaya 🤣🤣🤣
 
Ujinga umetamalaki nchi hii, eti wanamjengea sanamu dhalimu mwendazake!!!! Kwa lipi hasa? Bomoa Bomoa, udikteta, kubambikia watu kesi FAKE na kisha kuwapora billions zao? Kuwapora wenye maduka ya pesa za kigeni Arusha na Dar? Kuteka, kutesa na mauaji ya kutisha?
Mkuu mambo yote hayo unaona ni madogo? Unadhani kumpiga risasi mbunge mchana kweupi ni Jambo dogo?
Huyu anastahili sanamu.
 
Hiyo pesa ingetumika kuazzisha taasisi huru itakayoitwa Magufuli. Taasisi itakayotoa mafunzo ya utawala bora.

Jina la marehemu litukumbushe na kutufundisha ubaya wa udikteta. Matukio yote mabaya aliyoyafanya marehemu yatumike kama mifano ya utawala mbaya.

Wananchi tupo tayari hata kuchanga kwaajili ya kuanzisha taasisi hiyo.

Safi sana maana historia ni somo muhimu na hili la lilotokea awamu ya tano litawafanya viongozi kuzingatia utawala bora na kuzingatia Katiba, uhuru na raia kuhakikishiwa hawataburuzwa tena.
 
Mbunge wa Msoma vijijini Prof Muhongo amesema siyo kumbukumbu nzuri kumtengenezea sanamu marehemu au hayati na badala yake ni kheri fedha hizo zikatumika kujenga taasisi ya kuhudumia jamii kwa ajili ya kumbukumbu ya huyo anayetakiwa kukumbukwa.


Source: Tanzania Abroad tv
Prof aliyenyamazishwa na std seven ameibuka Tena .Duuuu prof huna vitu vya kujadili yaani wewe ni personality kwenda mbele
 
Ujinga umetamalaki nchi hii, eti wanamjengea sanamu dhalimu mwendazake!!!! Kwa lipi hasa? Bomoa Bomoa, udikteta, kubambikia watu kesi FAKE na kisha kuwapora billions zao? Kuwapora wenye maduka ya pesa za kigeni Arusha na Dar? Kuteka, kutesa na mauaji ya kutisha?
Mkuu utatoka kijiba cha roho ,hata ufanyeje baada mwendazake ni shujaa wetu ,ni majizi,mafisadi tu ndio wanamuona mwendazake hajafanya kitu nchi. Uliona wapi miundo mbinu inajengwa bila bomoabomoa?
 
Ila Magu sjui alikuwa anamchukuliaje Samia. Kagawa majina kila kona lakini jina la Samia hakulipa hata kwa shule ya Msingi. Ila Mungu fundi sana.
 
Mkuu utatoka kijiba cha roho ,hata ufanyeje baada mwendazake ni shujaa wetu ,ni majizi,mafisadi tu ndio wanamuona mwendazake hajafanya kitu nchi. Uliona wapi miundo mbinu inajengwa bila bomoabomoa?
Wacha ujinga hakuwa na ushujaa wowote zaidi ya roho ya kwanini tu.
 
Mbunge wa Msoma vijijini Prof Muhongo amesema siyo kumbukumbu nzuri kumtengenezea sanamu marehemu au hayati na badala yake ni kheri fedha hizo zikatumika kujenga taasisi ya kuhudumia jamii kwa ajili ya kumbukumbu ya huyo anayetakiwa kukumbukwa.


Source: Tanzania Abroad tv
Kabisa, tungejenga campus ya UDSM pale chato nakuita JPM memorial collage, pale main entrance ndio tuweke sanamu yake,
 
Huyu mzee bado ako na uchungu na Marehemu.
Maslahi yake binafsi ya kuhujumu nchi yaliminywa na marehemu ndio maana alipinga kila mradi ulioanzishwa na merehemu kuanzia stigler gorge .

Duniani kote wakuu wa nchi walioacha alama za kudumu wamejengewa sanamu za ukumbusho.
 
Back
Top Bottom