Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Profesa Lipumba amesema kuwa hakuna sababu ya kutoa elimu ya uraia kwa wananchi kwa miaka mitatu ili kuandika upya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Profesa Lipumba ameongeza kuwa Tume ya Jaji Warioba ilishatoa ufafanuzi kuwa wananchi wanaelewa aina ya katiba wanayohitaji na hakuna sababu yoyote ya msingi kuchelewesha mchakato.
Profesa Lipumba
Profesa Lipumba