Profesa Janab ukithubutu kukubali kuwa Katibu Mkuu wa CCM, heshima yako itapukutika kama vumbi la majivu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,712
218,260
IMG-20231225-WA0010.jpg

CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.

Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.

Usije kusema hatukukuambia .
 
Tangia lini CHADEMA mmekuwa washauri wa CCM? Tangia lini CHADEMA mmekuwa na huruma na wanachama wa CCM mpaka muanze kuwapa ushauri? Tangia lini CHADEMA mkawa watoa heshima na washusha heshima ya mtu? Kwani ninyi ni miungu watu? Hangaikeni na li Sacco's lenu lililopoteza muelekeo.
Heshima ya chadema bado ipo Lukasi sema hayo mengine uliyosema ni sawa
 

CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.

Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.

Usije kusema hatukukuambia .
Wacha akale pesa ww
 
Tangia lini CHADEMA mmekuwa washauri wa CCM? Tangia lini CHADEMA mmekuwa na huruma na wanachama wa CCM mpaka muanze kuwapa ushauri? Tangia lini CHADEMA mkawa watoa heshima na washusha heshima ya mtu? Kwani ninyi ni miungu watu? Hangaikeni na li Sacco's lenu lililopoteza muelekeo.
Maswali yako ni mazuri sana , lakini Majibu yake anayo Bashiru Ally na Chongolo
 
Tangia lini CHADEMA mmekuwa washauri wa CCM? Tangia lini CHADEMA mmekuwa na huruma na wanachama wa CCM mpaka muanze kuwapa ushauri? Tangia lini CHADEMA mkawa watoa heshima na washusha heshima ya mtu? Kwani ninyi ni miungu watu? Hangaikeni na li Sacco's lenu lililopoteza muelekeo.

Kuna mahal mtoa post kasema yeye ni chadema?
 

CCM kwa sasa ndiyo mahali ambako Waungwana wote wanaoingia huko moja kwa moja, wanageuka na kuwa kituko.

Nafahamu kwamba wewe Profesa wangu ni CCM, lakini suala la wewe kuwa Katibu Mkuu wa ccm litakuondolea heshima yako yote uliyojijengea kwa miaka yote, hicho chama kimekwisha na wala huwezi kukiokoa kwa sera Majukwaani , Angalia kilichomkuta Dkt Bashiru Ally.

Usije kusema hatukukuambia .
Makundi mawili yajiandae kisaikolojia;.
1. CCM mnaovaa zaidi ya kiuno 40 (wanaume) na mnaovaa zaidi ya 32 kiuno (wanawake) mjiandae!

2. CCM Wenye vitambi/viliba tumbo mjiandae pia
 
Back
Top Bottom