Uwezi kuwa maharufu bila kuihusisha serikali na haijalishi nikwa mabaya au kwa mazuri na hasa kama unaona unapoteza mwelekeo njia ya CUF iliyobaki ni karata ya muungano kwani karata ya amani na usawa zanzibar imeshatatuliwa na Maalim seif kuwa madarakani!!Kilichobaki ni chokochoko!
Huu ndio mwisho wa hoja zako? Kwani pale Mnapodai nchi isitawalike mnakuwa mmpoteza muelekeo?