Unaweza kukuta kajitu kamefaidika na ufisadi, kamesomeshwa na hela za ufisadi, kanalala kwenye nyumba ya baba yake inayotokana na ......na vitenda vya mzee kuuzia jeshi viatu akiwa waziri wa ulinzi.
Mwambie baba azirudishe, Lakairo hotel pale mwanza mwambie baba auze arudishe hela ya umma, hapo utakuwa safi kufanya ukosoaji
Lameck Airo ni alikuwa mbunge wa Rorya, makampuni yake familia ya Maria wana hisa kubwa, na ilikuwa tenda moja tu ya viatu vya jeshi