Shemzigwa
JF-Expert Member
- Jan 8, 2007
- 334
- 17
Ebana hata siju huyu mama kavaa vazi la kiarabu la kiisilam au la kidosi mie simjui ila naamini angekua muisilam mwenye kufata sheria sidhani kama angekubali aende kukaribiana na wanaume namna hiyo Ingekua mitaa sudan kama huyu mama ndo kenda kujichanganya na wanaume bac adhabu yake ni fimbo ashukuru TZ hakuna udini