Prof. Palamagamba Kabudi : Ni furaha yangu sasa kuna Mfumo wa Kisheria kiganjani

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,293
24,177




Kwa mara ya kwanza sasa waTanzania wanaweza kujifunza wao wenyewe kupitia mfumo wa kisheria wa kidijitali unaopatikana simu janja za kiganjani.

Hatua hii imefikiwa kupitia msaada mkubwa wa Mfuko wa Uwezeshaji wa Haki yaani LSF About LSF – Legal Services Facility kupitia app inayojulikana kama HAKI YANGU na kupakua yaliyo mengi ili kuweza kupata faida ya kuelewa Haki zao zote za msingi, Haki za Binadamu na pia Msaada wa Kisheria Tanzania unafanyika vipi.

Waziri wa sheria Prof. Palamagamba Kabudi amewataka sasa waTanzania kutumia simu zao janja kujifunza na pia kuweza kupata msaada wa kisheria popote walipo.

Palamagamba Kabudi amesema App hiyo inayojulikana kama HAKI YANGU ni ya kimapinduzi kabisa na kujua haki yake kupitia simu na kujua nani anaweza kumsaidia kisheria bila kusafiri mbali ili kupata taarifa muhimu za haki yake kisheria na wapi aweze kupata msaada wa kisheria.

CEO wa LSF Bi. Lulu Ng’wanakilala amebainisha kuwa wamehudumia jamii kuhusu haki kwa wote kwa miaka 10 sasa na Leo uzinduzi wa App - HAKI YANGU ni muendelezo wa kuwafikia wote kwa urahisi kila kona ya nchi hii kubwa ya Tanzania na kumshukuru waziri kukubali kuhudhuria uzinduzi kama mgeni rasmi katika siku hii muhimu kwa watanzania.

Prof. Palamagamba Kabudi amewashukuru LSF pamoja na wadau wote wa maendeleo wa nje na wengine waliowezesha sheria ya Msaada wa Kisheria ya mwaka 2017 kufanikisha mfumo huu wa kisheria.
 
Prof. Palamagamba Kabudi sasa amekuwa mstari wa mbele kuhakikisha waTanzania wote wanapata uelewa, haki zao na haki za binadamu.

Mh. Samia Suluhu Hassan rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema ili kumlinda mtoto wako kutoka kwa masaibu ya ulozi mkabidhi mchawi amlee.
 

CEO

Lulu Ng'wanakilala​

Board Secretary
Lulu joined the LSF in May 2019 as its new CEO and brings vast experience working in the NGO industry for several years.
She has served in various capacities including as Chairperson of the White Ribbon Alliance for Safe Motherhood in Tanzania (WRATZ), Steering Committee Member of the Leading Safe Choices Project (LSC), Board Director of Tanzania Women of Achievement (TWA) and Founder and Board Member of Tanzania Centre for Communication and Development (TCDC). She has also played a vital role in policy reforms and technical working groups at the coordination, facilitation and participatory levels including in the National Poverty Reduction Strategy (MKUKUTA). Ng’wanakilala is also a member of the Tanganyika Law Society (TLS
 
Mheshimiwa Mungu hayupo! So sad

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Back
Top Bottom