Prof Nhonoli afariki - kimya! Wasomi hawathaminiwi

Poleni sana Ian and other members of the family Mungu awape nguvu na faraja katika kipindi hiki kigumu kwenu na ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
 
Hatumuheshim na kumuenzi mtu kwa elimu alionayo au position alionayo bali ni nini amefanya kwa taifa cha kukumbukwa kupitia elimu aliyonayo au position aliokuwa nayo.
RIP Dr.

Mkuu umemaliza!!
RIP Prof. Nhonoli.
 
Daktari bingwa na nguli katika tasnia ya afya amefariki na kuzikwa Arusha, ni katika madaktari wa mwanzo baada ya uhuru, na alifundisha madaktari wengi nchini. Pia alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Afya ya Afrika Mashariki na kusini kwa muda mrefu sana kabla ya kustaafu.

Alikuwa mkuu wa kwanza Mtanzania wa kitivo cha udaktari, mkurugenzi mkuu wa kwanza wa hospitali ya Muhimbili, Rais wa kwanza wa MAT etc etc ( ongeza unavyovijua)

Tanzania tuwajali na kuwaenzi wasomi wetu, R.I.P Professor

Angekua Msanii hata anayekaa uchi jukwaani Dola ingemininika hapo
 
Kadhihakiwa kivipi huyo bwana? Nani kamdhihaki? Na unajua matakwa ya familia yake kama walipenda itangazwe kwenye mabango kwamba amekufa?

Ndugu yangu endelea na box na baridi huna mchango kwa taifa!
 
Mengi sana ndani ya sweet bongo siyo wewe uliyekimbilia majuu halafu unarusha madongo, raha ya ngoma uingie ucheze!

Orodhosha hapa hayo uliyochangia taifa na siyo habari za "mengi sana". Mengi sana yepi hayo?
 
Orodhosha hapa hayo uliyochangia taifa na siyo habari za "mengi sana". Mengi sana yepi hayo?

Sina budi na mpiga box badala ya kufanya vya maana, uko off leo unatafuta wa kupiga naye story?
 
Wewe niache na ubeba mabox wangu. Niorodheshee uliyoyafanyia taifa lako.

Piga box google uone mchango wa Prof katika nchi hii, mchango wangu naowafanyia kazi wsnaujua. I will stoop too low to tell you
 
Piga box google uone mchango wa Prof katika nchi hii, mchango wangu naowafanyia kazi wsnaujua. I will toop too low to tell you

Orodhesha hapa ulicholifanyia taifa lako. Acha kuongea mambo ambayo hayaeleweki! "Toop" ndo nini?
 
Back
Top Bottom