Prof Nhonoli afariki - kimya! Wasomi hawathaminiwi

Bongo hawana utaratibu wa kuwaenzi wasomi wa taifa hili akifa basi ndio basi legacy yake kaenda nayo kaburini

Kumuenzi maana yake nini?

Si alipewa nyadhifa hizo mbali mbali kama ukurugenzi Muhimbili, ukuu wa chuo nk na nina hakika alikuwa anapata pensheni yake.

Au ulitaka apewe urais wa nchi?
 
Kumuenzi maana yake nini?

Si alipewa nyadhifa hizo mbali mbali kama ukurugenzi Muhimbili, ukuu wa chuo nk na nina hakika alikuwa anapata pensheni yake.

Au ulitaka apewe urais wa nchi?

Amefundisha watanzania wengi amba wanakutibu hadi leo. RIP Prof
 
Kumuenzi maana yake nini?

Si alipewa nyadhifa hizo mbali mbali kama ukurugenzi Muhimbili, ukuu wa chuo nk na nina hakika alikuwa anapata pensheni yake.

Au ulitaka apewe urais wa nchi?
Mtoa mada alilenga zaidi msiba na mazishi yake!
 
Wasomi wanajiharibia wenyewe hii nchi inashindwa kupiga hatua kwasababu yao,wao wanadhani kuwa PhD holder ndo baasi na wakati wanatakiwa kudevote muda wao kutoa elimu huko vijijini kama huyu Prof alitakiwa akasaidie watu kujua nini mabaya ya sera za afya kwa wazee,vijana n.k na nini watu wafanye ila tatizo lao wakishapata hizo titles wanahamia Obey na kusahau haraiki ya wanyonge wa nchi hii

R.I.P Prof.

Naamini umeandika tu humfahamu!
 
Hawa MAKERERIAN wa MUHAS mbona wanakwisha! Majuzi ametutoka Prof. Gabriel Mwaluko

Sasa Prof. Nhonoli

RIP Prof. Nhonoli
 
Kumuenzi maana yake nini?

Si alipewa nyadhifa hizo mbali mbali kama ukurugenzi Muhimbili, ukuu wa chuo nk na nina hakika alikuwa anapata pensheni yake.

Au ulitaka apewe urais wa nchi?

Uandishi unatambulisha akili ya mtu. Tunakushukuru kwa kutuweka wazi wewe ni mtu wa aina gani.
 
Uandishi unatambulisha akili ya mtu. Tunakushukuru kwa kutuweka wazi wewe ni mtu wa aina gani.

Ni kweli, bahati mbaya hatutoi CV zetu humu, uchangiaji wa wengine inaonyesha jinsi walivyokimbia umande, basi ni kuwachukulia jinsi walivyo maana wana alergy na shule
 
Daktari bingwa na nguli katika tasnia ya afya amefariki na kuzikwa Arusha, ni katika madaktari wa mwanzo baada ya uhuru, na alifundisha madaktari wengi nchini. Pia alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Afya ya Afrika Mashariki na kusini kwa muda mrefu sana kabla ya kustaafu.

Alikuwa mkuu wa kwanza Mtanzania wa kitivo cha udaktari, mkurugenzi mkuu wa kwanza wa hospitali ya Muhimbili, Rais wa kwanza wa MAT etc etc ( ongeza unavyovijua)

Tanzania tuwajali na kuwaenzi wasomi wetu, R.I.P Professor

Alienziwa na kuthaminiwa sana usomi wake ndio maana alipewa hivyo vyeo ulivyotaja.Kichwa chako cha maada kimejaa bla bla za kisiasa.
 
Ndio Tz hii. tutawafahamu saana akina Kanumba, Lulu nk mpaka Tutafika tuu....
 
Back
Top Bottom