Prof Nhonoli afariki - kimya! Wasomi hawathaminiwi

Prof Nhonoli afariki - kimya! Wasomi hawathaminiwi

Thread ni ya Prof na nimeorodhesha na wengine wameongeza! Mwanaume wa ukwe hakimbii nchi ok

This is too low!
Kwa hiyo kwako "MWANAUME" wa ukweli MTANZANIA ni yule anayeishi TZ tu?
 
May God Rest his soul in Peace. Wasomi mara nyingi vifo vyao hapa Tz havithaminiwi rejea vifo vyao.
 
Mbona uko obsessed sana na box langu wewe? Unataka kunipiga mzinga nini....?


Wewe Prof humfahamu, hukuwa na sababu ya kuchangia thread hii, endelea na boooooxxxxxx
 
Bijou unawachukia watz waliopo Ulaya bila sababu zozote za msingi!

Sina chuki nao hata! Ila hakuwa na sababu ya kuchafua thread kama hana analolijua la Prof, nikahisi any way labda ni stress za box si vinginevyo
 
Last edited by a moderator:
huu uzi uko jukwaa ambalo si mahala pake. Hii habari ipelekwe jukwaa la jf doctor maana marehemu hakuwa mwanasiasa
 
Back
Top Bottom