The Interpreter
Member
- Mar 14, 2019
- 87
- 60
Asante sana Professor Assad kwa kusema ukweli. Nchi hii imeibiwa sana na genge la Magu.
Acha Kuwa Mpumbavu We Binti. Ni Kiongozi Gani Wa Nchi Hii Ambaye Sio Mwizi?
Wanaiba Chadema Ambao Hawana Dola, Unawashangaa Watu Walioko Jikoni. Akili Yako Ndogo Subiri Upate Mume Wa Kukuoa Ukomae