Prof. Mussa Assad: Nilipokuwa ofisini niliomba nyaraka za SGR, Air Tanzania na mradi wa Stiegler's Gorge lakini sikupewa hata moja

Kuna kitu hakiingii akilini. Unaposema aliomba maana yake ni nini? Huwa hatuombi nyaraka, huwa tunapewa nyaraja kufanya audit. Ukishaanza audit utakuwa uneshapewa kika unachohitaji, kimeandaliwa kabla hujaja. Wao pia ni wahasibu kama wewe, wanajua mahitaji. Isitoshe tayari una data za mwaka jana na mwaka juzi hii si audit mpya. Kama angesema aliomba nyaraja za SGR, zipi, akanyimwa ningeelewa, lakini alipisema aliomba za SGR NA za ndege NA za barabara nikajua si kweli, these are different audits. Na hasemi ni nyaraka gani, kwa sababu hata jina ni nyaraka, bajeti ni nyaraja, bank statement ni nyaraka, invoice ni nyaraka na risiti ni nyaraka unapewa moja kwa moja kutoka benki au kwa creditor hupitii kwa Magu. Na pale anaposema ana uzoefu na hayo mambo si kweli, ni wa chuo kikuu mtu wa library. Sitashangaa kama hata train hajapanda si mtu wa Bara.
Punguza povu ndugu Taga, sidhani kama umeelewa alichosema CAG aliyepita.
 
Mfano wako hauendani na hili,halafu jenga hoja matusi hayafai kwenye mijadala,kutumia matusi inaoneysha unaendeshwa na mihemko na mahaba/unazi wa chama,tambua tumetumia zaidi ya trilioni 2 kununua midege , kwasasa midege na shirika linatutuia hasara solution ni kufutiliwa mbali na midege kuuzwa, kwasasa hauwezi kufanya chochote kututoa kwenye hasara au kulinusuru shirika maana tulishavurunda kwenye msingi(Foundation)...CAG alichoshauri ni kuvunja nyumba yote na kujenga msingi upya ,kuendelea kurepair ufa wakati msingi mbovu ni kujidanganya nadhani umenielewa.

Njia waliyopendekeza ni kulifutilia mbali shirika.(Kuvunja nyumba yote yenye msingi mbovu ,msingi hauna zege ,msingi hauna nondo ,msingi hauna mawe ,msingi hauna blinding etc) hata ukijenga juu ya msingi mbovu hakuna kitu ni kendelea kupata hasara kwenye maintanance ya nyumba maana cracks ,fungus ,hazitokuacha salama.
Kwanza uelewe, mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa nchini. Pili kuwa na akili au kutokuwa nayo sio tusi....

Nikirudi kwenye mada. Hebu nambie hoja hapa ni nini baada ya kutekeleza ushauri wa huyo anayejiita CAG? Kwa sababu nionavyo mimi katika kujenga hili shirika kuna makundi mawili ya kuangalia

1. Rasilimali watu - Ambapo anasema hakuna wanataaluma wenye ubobezi katika shirika hili ndo maana ataka lianzishwe na upya.

2. Rasilimali vitu- hapa inajumuisha ndege, majengo na thamaini nyingine ambazo shirika la ATCL linamiliki. CAG anataka tuuze ngege zote, ili tuanze na upya.

HOJA YANGU
1. Kuhusu Rasilimali watu sina shaka kabisa. Hapa mabadiliko makubwa yanatakiwa yafanyike lakini kwa kufuata utaratibu mzuri wa kitaalamu. Huwa naamini kati ya elimu ya darasani na uzoefu bora uzoefu. Hata hivo inatakiwa ajiulize wataalamu au wabobezi wangetoka wapi kama shirika lilikuwa limekufa? Likafufuliwa na sasa anataka liuliwe tena?

2. Je, ndege zikishauzwa, kwenye huo mpango mpya ndege hazitonunuliwa tena iwe kwa cash au lease? Kwa njia yoyote, kama zitanunuliwa, je kuna sababu ya kuziuza halafu uje ununue tena either kwa cash au lease?

3. Je hoja ni kuuza ndege zote au kubadili mfumo wa uendeshaji wa shirika ili uwe na tija. Huwezi ukanya pembeni ukasema, basi ngoja niyarudishe tumboni ninye na upya... daah

Najaribu kukupa mifano rahisi ili unielewe ndugu.
 
Eti niliomba nyaraka nikanyimwa,

Itakua walishazifahamu tabia zake za kupenda kufanya yasiyomhusu ndio maana wakamnyima ,

Ingawa hajasema ni nyaraka zipi ili tujue kama alikua anastahili kupewa ama la.
Mataga sijui huwa akili mnapeleka wapi,
 
Mwehu huyo, huyu wa sasa alipewa na nani? Maana wakati anakagua bado hayati alikuwepo
Hakuna watu walikua wanawachukia maproffesor kama vilaza kiufupi kama una akili ndogo ni ngumu sana kuwaelewa hawa ma genius.... Mwisho wa siku utajikuta unawaita wehu.
 
Mh hebu kuwa na hofu ya Mungu. Hata wewe ni Mzoga mtarajiwa! Unajua umebakisha mda gani wa Kuringa hapa Duniani? Have some Respect yule ni Baba wa mtu na wanaumia kuona such Comments kwa Mzazi wao.
Kwa hyo watoto na mke wa lissu walifurah kuona mzazi wao anapigwa risasi kama muasi?
 
Profesa Assad amefichua kuwa aliomba nyaraka za ununuzi wa ndege, reli ya SGR pamoja na Bandari ya Bagamoyo kwa kutumia technical reason lakini mkuu wa nchi wa wakati huo alikataa kuzitoa akawa anamtafutia sababu ya kumtoa ofisini.

Prof Assad amesisitiza kuna muda watu wanavunja katiba waziwazi lakini Taifa linashindwa kuwakosoa kutokana na hofu na uwoga.

Prof Assad amesisitiza kwa kukaa kwake ofsini alizihitaji sana hizo nyaraka ili azisome na atoe ushauri wa kibiashara kwani amefanya kazi hizo kwa miaka mingi kabla ya kuwa CAG kabla ya kuzikagua.

Prof Assad ametoa ushauri ni muda muafaka wa serikali kuweka nyaraka wazi kwa Raia wake ili wazichambue na kuboresha mapungufu kuliko Kuzificha Ikulu.

===

Wakati nipo ofisini, katika vitu ambavyo ni vitu vitatu: niliomba SGR, niliomba document ya Air Tanzania upya na niliomba project ya Stiegler's Gorge -- feasibility studies. Na sikupewa hata moja. Nilichopata ilikuwa ni barua kwamba mwaka haujamalizika na kwahiyo ukaguzi wa hesabu si wakati wake.

Na kila mtu mwenye akili alikuwa anajua nilichokuwa nataka kufanya si ukaguzi wa hesabu, lakini ilikuwa ni technical response ya kusogeza muda na kuniondoa katika reli tu. Kwahiyo, mpaka nimeondoka ofisini I never got that information na mpaka sasa hivi sijatafuta na sijasoma.

Wewe ni kama mimi. I'm a private citizen now. Ikitokea taarifa hii ipo wazi, tutaisoma na tutatoa commentary.

View attachment 1749054
It is cracking and exploding. The center is no longer at ease and holding up.
 
Mwehu huyo, huyu wa sasa alipewa na nani? Maana wakati anakagua bado hayati alikuwepo
Na una amini Hayati angekuwepo CAG wa sasa angewasilisha taarifa kama alivyoiwasilisha? Si unajua kuwahaiwasilishwi hadharani kabla ya kupata baraka za Rais? Kuna wakati CAG alikosolewa hadharani kwa kusema deni linaelekea kubaya. Akaambiwa akaandike upya.

Amandla....
 
Na una amini Hayati angekuwepo CAG wa sasa angewasilisha taarifa kama alivyoiwasilisha? Si unajua kuwahaiwasilishwi hadharani kabla ya kupata baraka za Rais? Kuna wakati CAG alikosolewa hadharani kwa kusema deni linaelekea kubaya. Akaambiwa akaandike upya.

Amandla....
Mkuu Fundi Mchundo,
Hawa makanjanja wasikupasua kichwa, wajibu huku uki relax na kugonga kahawa yako kwa haka ka hali ka hewa,

Hij misukule tabu sana, yaani baadhi yao zimeanza kurudi ila hizi ndembwe bado ziko kulee mashambani zinadhani ni ndoto tu
 
Utter Non Sense kabla MEKO hajafuja mitrilioni kununua midege inayotutia hasara watalii ulikuwa unawasafirisha na MAMBUPU yako?
Hasara ya pesa iliyopotea kwenye utalii kwa kukosa ndege au umeme wa mafuta bila mradi wa Nyerere miaka yote utaufidia kwa MK.ND.U WA B.I.bI Yako
 
WEWE utakuwa kinyesi Cha Nguruwe
Umesoma kwa hisia na kujibu kwa hisia..haya sasa unaonaje ukitumia ufahamu wako wa kibinadamu, yaani weka hasira pembeni, na Kisha usome tena, utaona tofauti kubwa Kati ya majibu yako ya mwanzo na haya utakayoandika...
 
Hasara ya pesa iliyopotea kwenye utalii kwa kukosa ndege au umeme wa mafuta bila mradi wa Nyerere miaka yote utaufidia kwa MK.ND.U WA B.I.bI Yako

Acha matusi wewe MBWEHA ,jenga hoja ,weka data za watalii kabla na baada ya ujio wa MIDEGE yenu then ndio tujue,CAG alishakwambia Midege yenu ni hasara tupu,midege muda mwingi imepaki ,midege unasema inaboost utalii wakati hakuna route za nje direct ,watalii wote wanakuja na midege ya kwao huko.

Mfano:-

Mwaka 2014 tuliingiza watalii - XXX
Mwaka 2015 -Tuliingiza watalii YYY

Baaday ya Midege:-
Mwaka 2017 tuliingiza watalii - ZZZ
Mwaka 2018 watalii XYZ
 
Kwahiyo watanzania walihitaji kupigwa bunduki na kutekwa ?
Kwani kupigwa bunduki na kutekwa kulianza awamu ya 5? Ulizia kifo Cha karume kilitokeaje,Amran kombe,kutekwa akina ulimboka nk.Matukio ya uhalifu yaliweza kutokea awamu zote.
 
Kwani kupigwa bunduki na kutekwa kulianza awamu ya 5? Ulizia kifo Cha karume kilitokeaje,Amran kombe,kutekwa akina ulimboka nk.Matukio ya uhalifu yaliweza kutokea awamu zote.

Ni kweli kila awamu ina zama zake ila Matukio mengi ya wasiojulikana yalizidi sana awamu ya 5 hata kama yalikuwepo huko nyuma yalikuwa ya siri mno na ngumu kujua kama waliotekeleza wasiojulikana.

Awamu ya 5 wasijulikana walikuwa wanafanya mambo waziwazi mtu anapigwa risasi sehemu yenye ulinzi mkali na hakuna aliyekamatwa.

Ben anatekwa hadi kina zitto walivyofatilia polisi wakaambia sisi tumefikia hapa katika uchunguzi huko mbele hatupawezi maana waliomchukua ben ni "TEETH".

Watu walikuwa wanaokotwa kwenye viroba kila siku.

Wafanyabiashara walikuwa wanauawa na TASK force sema Zakaria ndio aliwafundisha adabu.



 
Back
Top Bottom