MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,521
- 1,369
Nawewe utamaliza lini kumuuliza nami nianze kumuuliza?Utamaliza lini kumshangaa ili na mimi nianze kumshangaa??!!
Umfukuze na daktari mmoja hapa chuon kwe2 anatusambazia virusi kama nini. Anaitwa dokta shabani ni malaya wakutupwa hapa muce.
Mtu hapo nilimaanisha anayeendeshwa;Bosimkuu mm apo kwenye red hzo gari zinafana na zile ndege zinazoendeshwa bila rubani? mana unasema bila m2 yyto ndani
Ndio.Kulikuwa na Nicholus Kuhanga na Prof.Matthew Luhanga.Wote walikuwa Makamu wa Chuo kwa vipindi tofauti..Kulisha kuwa na kuhanga na Luhanga?
Source ni mimi.Sio lazima source iwe gazeti,blog,redio au televisheni jamani. Huu ni ukweli kabisa..plz thrd iwekwe na source ya kueleweka mnatunyima uhuru wa kuchangia.
UDSM kilikuwa cha maana enzi za Kuhanga..
Kweli watanzania wengi hatujabarikiwa umakini na udadisi. Vinginevyo si rahisi kunywa hii story kaka ilivyo.
Kwa kuanza, what is million nne kwa serikali au taasisi zaidi ya kununua rims za karatasi haitoshi hata toner ya printer 10 ije kuwa maslahi ya wafanyakazi
Kuna jamaa zangu wanafanya kazi udsm jinsi wanavyolalamika na ukwasi uliopo hapo udsm kiasi kwamba wanafikiria kuacha kazi. Ukiangalia story nzima wanamlalamikia huyo jamaa, na kama ndio anafanya ufisadi wa namna hiyo basi hafai kuwepo hapo ili kukinusuru hicho chuo. mbona wakati wa luhanga mambo yalikuwa mazuri!!!.
Soma kwa umakini Kintiku acha kukurupuka. Nimeeleza wazi kuwa huwa wanatengeneza magari yao kwenye kampuni yet(Garage). Nimesoma Mechanical Engineering pale. Kuwa Iringa ni kikazi hivyo haimaanishi kuwa Iringa siwezi kuwa fundi? au umezoea mafundi magari kazi yao ni garage tu na hawazunguki kutafuta tender wala kumfuata mteja (corporate customer) pale alipo? Kwenda Botswana inategemea nimeenda kufanya nini so uliza niko wapi nafanya nini au nimeenda wapi kufanya nini acha kujichanganya toa hoja. Pamoja na hayo acha kumdharau Baba wa watu mimi sistahili hata kufunga viatu vyake.
Ulimaanisha ukata? maana ukwasi ni kuwa na fedha ya kutosha
Mami!! enzi za VC, Engineer chuo kilikua kiko pouwa!!!!!!!!
au enzi za Kaduma!!
Prof.Mukandala amerudi leo kutoka Iringa kwa ndege aliyoikodi.Gari zake zilitangulia UDSM jana.MPYA: Prof.Mukandala anatarajiwa kusafiri tena Jumatatu ijayo kwa ndege kwenda Bukoba kushiriki mazizishi ya mke wa Prof.Ishumi aliyefariki katikati ya juma hli.Kama ilivyo ada,gari zake zitatangulia Jumamosi zikiwa na wapishi,vyakula na Afisa Uhusiano wa Chuo.Mwenye masikio na asikie...
Mihaya ndivyo ilivyo inajiona sana.....Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amefanya kufuru kimatumizi UDSM.Katika safari yake ya kutembelea Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa Iringa almaarufu kama MUCE,Prof.Mukandala amekodi ndege ndogo ya kumpeleka huko yeye na msaidizi wake mmoja kwa thamani ya takribani shilingi milioni nne.
Kama hiyo haitoshi,Prof.Mukandala aliagiza magari yake mawili ya kifahari aina ya V8 kutangulia Iringa kumpokea yakiwa 'full tank' na bila mtu yeyote ndani yake.Fedha zote anazozitumia ni mali ya UDSM.Nchi hii yaelekea wapi jamani?
UDSM kilikuwa cha maana enzi za Kuhanga..