Prof. Mukandala afanya kufuru UDSM

Umfukuze na daktari mmoja hapa chuon kwe2 anatusambazia virusi kama nini. Anaitwa dokta shabani ni malaya wakutupwa hapa muce.

Moderator,naomba iyo hapo uitoe,nisiione,coz naic huyo dokta hazini na ng'ombe,wanakubaliana wanafanya,na wanajuana ndo maana kuna ulalamishi! mbona hao malaya wengne haukuwataja kama ulivyomtaja Dr.?au umepigwa kibuti?WAKIMKATAA ATAITWAJE MALAYA?Cmutetei dr.ila waache kujipeleka tuone kama atakuwa malaya.We unadhani ni dr.peke yake hapo chuoni.WAPO WENG KWA TAARIFA YAKO
 
Natamani kuandika hoja za ufafanuzi,
lakini nimejawa kigugumizi,
kuhusu ukweli wa habari hizi,
Kama ni kweli na sio simulizi,
Basi kavaa ile ile (kwa kihaya "zesemu") hirizi,
Ya swahiba wake yule wetu mchizi.
 

1. Are you serious.....hivi unajua hapo chuo palivyo na hiyo 4M inaweza kufanya kazi kubwa tuu????
2. Say we ndo waziri na hii issue unaijibia hivi....you mean na wakuu wengine wakamue kwa raha zao????Because haitoshi hata reams????

Kweli kazi tunayo
 

hapo kwenye red, kama ni ukwasi maana yake pesa ipo ya kumwaga! nafikiri ulitaka kusema ukapa au ukata!
 

1. You are a lucky guy...........coincidencely meeting with the boss information mpaka ndege alotumia na namba za simu za kampuni aliyosafiria?????
2. Mara uko Iringa kikazi naye huyuuu na Nissan??????
3. Uende Botswana uanze kumzungumzia the boss??????

As the bos has just said phenomenon...........umeeleweka mkulu
 
Mami!! enzi za VC, Engineer chuo kilikua kiko pouwa!!!!!!!!

Wakati wa Prof.Luhanga akina mkandala na magwini wenzake walikuwa wanalalamika sana kuwa Luhanga anaharibu chuo hajui utawala anatumia mabavu,,Sasa time yao kutawala tunataka maendeleo zaidi ya aliyofanya Luhanga...VIVA ENGINEER PROF.LUHANGA
 
au enzi za Kaduma!!

Oh yeah..enzi hizo nazo zilikuwa poa kabisa.

Ila nimestaajabishwa na ujinga wa watu. Yaani hata uwape historia na kutoa vidhibiti bado wapo ambao hawaelewi.

Eti mtu anadiriki kusema katika historia ya Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam hakujawahi kuwa na makamu mkuu wa chuo aitwaye Nicholas Kuhanga......

Ujinga sijapata kuona.
 
Prof.Mukandala amerudi leo kutoka Iringa kwa ndege aliyoikodi.Gari zake zilitangulia UDSM jana.MPYA: Prof.Mukandala anatarajiwa kusafiri tena Jumatatu ijayo kwa ndege kwenda Bukoba kushiriki mazizishi ya mke wa Prof.Ishumi aliyefariki katikati ya juma hli.Kama ilivyo ada,gari zake zitatangulia Jumamosi zikiwa na wapishi,vyakula na Afisa Uhusiano wa Chuo.Mwenye masikio na asikie...
 

Jamaa hawa walivyo wajanja atabandika namba feki kwenye gari kuondoa ile SU, unacheza na Nshomile nini...
Wapi Mabulangati na Agyeman kwa ajili ya kukanusha
 
Mihaya ndivyo ilivyo inajiona sana.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…