masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
- Thread starter
- #21
Wizara ya maji kule ilikuwa kuwakomoa komoa makandarasi aliowaacha ujenzi.Professor Mbarawa alishawahi kuwa waziri wa Ujenzi na kwa mujibu wa Magufuli alisema hadharani kuwa ile wizara ilimshinda na hivyo kumuhamishia wizara ya maji. Ghafla leo analetwa tena wizara hiyo hiyo ya Ujenzi, kuna kitu gani kipya atafanya?