Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 473
- 1,682
Nimefurahishwa sana na Prof Kitlla Mkumbo wakati akisoma ilani ya CCM leo pale Dodoma
Yeye na Wasira ni hazina kubwa sana.
Yeye na Wasira ni hazina kubwa sana.
NGOJA NINYAMAZE MAANA......Nimefurahishwa sanaaaaaaa na Prof Kitlla Mkumbo wakati akisoma ilani leo pale Dodoma
Yeye na Wassira ni hazina kubwa sanaaaa
Kitila amekutuma upige campaign?Pro Mkumbo akiwa Waziri Mkuu katika serikali ya Dkt Samia ataivusha sana nchi, ana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja, ameshiriki kutunga ilani, anaujua upinzani, ni mtafiti na mjenga hoja mzuri sana, watanzania tutafurahi sana akiwa PM Prof Kitilla Mkumbo
Nitasali kuomba Prof Mkumbo awe PM na inshalllah atakuwa PM
Keshanyweshwa pombe za bure na hongo ya fedha kidogo amepoteza uwezo wa kufikiri.Ubongo wa kuku huyo.NGOJA NINYAMAZE MAANA......
Unataka kusema machawa wote humu ni wake za watu madam?Kama si Kitila Mkumbo mwenyewe atakua mke wake ameandika huu uzi.
Kwa sababu ya ulivyomuona amevaa miwani na kujiinamisha kila wakati kitapelitapeli?Pro Mkumbo akiwa Waziri Mkuu katika serikali ya Dkt Samia ataivusha sana nchi, ana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja, ameshiriki kutunga ilani, anaujua upinzani, ni mtafiti na mjenga hoja mzuri sana, watanzania tutafurahi sana akiwa PM Prof Kitilla Mkumbo
Nitasali kuomba Prof Mkumbo awe PM na inshalllah atakuwa PM
Si wake tu,hata wapumuliwaji wao lazima wapo.Unataka kusema machawa wote humu ni wake za watu madam?
😂😂😂😂Kama si Kitila Mkumbo mwenyewe atakua mke wake ameandika huu uzi.
😂😂😂😂Si wake tu,hata wapumuliwaji wao lazima wapo.
Unauonaje huo uzi?Si kwamba ananepewa mtu kweli?😂😂😂😂
Mpige na teke kabisaNdo amekutuma huyo Mkumbo wako umpigie promoo? Bas muambie ni hivi hata huo Ubunge wa kupewa hastahili.
Tutolee upuuzi wako hapa. Mxxxxiiiiieeeew
Kwamba kupumuliwa kisogoni ni nnje nnje?🤣🤣🤣Si wake tu,hata wapumuliwaji wao lazima wapo.
😂😂😂😂Mpige na teke kabisa