Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,905
- 100,058
Hamna mtu hapo.Kwamba kupumuliwa kisogoni ni nnje nnje?🤣🤣🤣
Hamna mtu hapo.Kwamba kupumuliwa kisogoni ni nnje nnje?🤣🤣🤣
Wewe mbona ndo kitila mkumbooNimefurahishwa sana na Prof Kitlla Mkumbo wakati akisoma ilani ya CCM leo pale Dodoma
Yeye na Wasira ni hazina kubwa sana.
Huyo atakuwa ni "Kitulo Kitumbo"!Wewe mbona ndo kitila mkumboo
Men lacking pride ya manhood, they are capable of doing anything just to get their daily bread. Can't believe chawa akiombwa na boss atakataa kuinama if he can say stupid things publicly against his manhood to make the boss happyUnataka kusema machawa wote humu ni wake za watu madam?
Japo sijaelewa kingereza ila nimecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 upo lakiniMen lacking pride ya manhood, they are capable of doing anything just to get their daily bread. Can't believe chawa akiombwa na boss atakataa kuinama if he can say stupid things publicly against his manhood to make the boss happy
Akikufurahisha unadhani anafurahisha wengi. Njoo jimboni kwake uangalie barabara na upatikanaji wa maji ndio utatia akili.Nimefurahishwa sana na Prof Kitlla Mkumbo wakati akisoma ilani ya CCM leo pale Dodoma
Yeye na Wasira ni hazina kubwa sana.
Kupatwa kwa kingereza HahaaaaaaJapo sijaelewa kingereza ila nimecheka sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 upo lakini
Noooo diaspora wa buza to kimboka labda🤣Kupatwa kwa kingereza Hahaaaaaa
nipo dear diaspora
Hahaaaa maeneo yako pendwaNoooo diaspora wa buza to kimboka labda🤣
Utani tu ujueHahaaaa maeneo yako pendwa
Najua unatania tu ili watu wajibu hovyo.Nimefurahishwa sana na Prof Kitlla Mkumbo wakati akisoma ilani ya CCM leo pale Dodoma
Yeye na Wasira ni hazina kubwa sana.
I knowUtani tu ujue
Wewe na kingereza mda wote ,kwangu mimi hii lugha inanipandisha sukari sometimes 😂I know
Punguzeni utaniPro Mkumbo akiwa Waziri Mkuu katika serikali ya Dkt Samia ataivusha sana nchi, ana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja, ameshiriki kutunga ilani, anaujua upinzani, ni mtafiti na mjenga hoja mzuri sana, watanzania tutafurahi sana akiwa PM Prof Kitilla Mkumbo
Nitasali kuomba Prof Mkumbo awe PM na inshalllah atakuwa PM
Mhh wapiiiWewe na kingereza mda wote ,kwangu mimi hii lugha inanipandisha sukari sometimes 😂
Huyu ni mchepuko wa Mkumbo kabisaa, anapigia promo sponsa ake, asilale njaa.Unauonaje huo uzi?Si kwamba ananepewa mtu kweli?
😂😂😂😂Men lacking pride ya manhood, they are capable of doing anything just to get their daily bread. Can't believe chawa akiombwa na boss atakataa kuinama if he can say stupid things publicly against his manhood to make the boss happy