zulu lima
Senior Member
- Jun 1, 2016
- 106
- 89
Kweli maskini hana kiapoNi wakati muafaka wa yeye kukujibu hili
Kweli maskini hana kiapoNi wakati muafaka wa yeye kukujibu hili
kwani akikubali utamfanya nini?
Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Ndio kateuliwa sasa naona kakubaliYeye akiteuliwa ATAKATAA?
Usiwaamini Wanasiasa by ZZ KabweNitashangaa nikimuona mhadhiri huyu mwandamizi akiapa. Ndio nitajua siasa ni kitu gani?
Tusubili tuone, Magufuli ndio kiboko ya wanafki wote kama Polepole.Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Mkuu tunasubili kujionea ni nani sasa mwenye matatizo ya akili.Ni ushauri mzuri na atakayempinga anamatatizo ya akili
Maana yake Zitto Kabwe ni mwanasiasa, inaonekana unasoma lakini huelewi.Usiwaamini Wanasiasa by ZZ Kabwe
JAMANI TUSITOLEWE NJE YA MSTARI,BASHITE BASHITE BASHITE TUMEFIKIA WAPI? MBONA BSHITE ATUMBULIWI?
Hakuna fumbo lisilo na jibu, baada ya siku kadhaa leo umepata jibu.Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Kibongobongo ni ngumuNgoja tuone msimamo wake kama alichokuwa anakisema anaweza kukiishi
Don't trust these men I say again don't the reality which neither they can speak is even their names nor attitudena kesho ataapa ndio watanzania mjue kwamba wanasiasa sio watu wa kuaminika
sureDon't trust these men I say again don't the reality which neither they can speak is even their names nor attitude
DuhYeye akiteuliwa ATAKATAA?