KABIDI BODO
Senior Member
- Jan 19, 2017
- 184
- 252
Hii inaitwa mpe mpiga kelele umonitor, Hapa ndipo patamu
hahahaaaaaaaaaaaaaa umenivunja mbavu mkuuHii inaitwa mpe mpiga kelele umonitor, Hapa ndipo patamu
Kitila kama sio elimu ni nani? Kwani taaluma ni majengoUnadhani Kitila ndio elimu?
Cha kushangaza ni kwa nini m-bobezi wa taaluma ya elimu asipelekwe wizara ya elimu? Angefaa sana hata km ni kuwa naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu.
Ata mimi hapo magufuri ndiyo simwelewi kwakweli..!Unadhani Kitila ndio elimu?
Cha kushangaza ni kwa nini m-bobezi wa taaluma ya elimu asipelekwe wizara ya elimu? Angefaa sana hata km ni kuwa naibu Katibu Mkuu Wizara ya Elimu.
Kitila kama sio elimu ni nani? Kwani taaluma ni majengo
Mungu ibariki JFWana jamvi Salaam
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima
Kama Chadema walivyolamba matapishi yaoKITILA NA POLEPOLE SHAME ON YOU!MNAKULA MATAPISHI
ndo tayariYeye akiteuliwa ATAKATAA?
Bila majengo taalum hakuna. Ndio maana kila siku tunalilia vyumba bora vya madarasa.
Acha ubishi wa kijinga unaweza kuwa na madarasa bora kama huna wakufunzi ni bure, lakini ukiwa na wakufunzi bora hata chini ya mwembe elimu inapatikana
Unakumbuka mtu anaitwa Humphrey Polepole? Alikuwa ni mpingaji mzuri wa vyeo vya ukuu wa wilaya na mikoa. Alipoteuliwa kuwa mkuu wa wilaya alisahau kila kitu na akakubali hicho cheo alichokuwa anakipinga. Tusubiri Mkumbo atakuja na lipi. Binadamu wanabadilika, tena kwa kasi ya ajabu!Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima
Prof Kitila: Magufuli usiteue Wahadhiri
Swali:
Atalamba matapishi yake au?