Prof. Kikwete aenda Marekani

Prof. Kikwete aenda Marekani

Ni kama Mungu ametuadhibu kutuletea huyu VDG...!

Sijui hii adhabu tutaacha kuitumikia lini ee Mungu tusamehe tulikosea



Kabisa mkuu, Mungu alituletea kikwete ili tuamke manake watanzania tulikuwa tumelala. Yule kiongozi wa dini aliyesema kikwete ni chagua la Mungu alikuwa sahihi kabisa.
Kwa mpango huu inabidi kumrudia Mungu manake hii adhabu 'kikwete' imetosha sasa.
 
Huyu baba asipojua kuendesha ndege ntashangaa sana

Yani umenifanya nicheke sana juu ya maumivu makubwa sana!
Dah! Ila kama Mungu yupo, huyu jamaa hawezi kuwa salama. Nina amini hakuna raisi mstaafu atakaeteseka Tanzania hii kama huyu msafiri!! Ninauhakika! Labda aishi hukoo huko nje!
 
Hivi kwanini kwanini hakuunganisha tu moja kwa moja kutoka China aende huko Marekani?
 
Hivi kwanini kwanini hakuunganisha tu moja kwa moja kutoka China aende huko Marekani?

Dawa yake ni kukuta gaidi lishaingia ikulu na kujipa uraisi akirud anaipata fresh
 
Tuna balozi marekani .ya nini yeye aende kule USA ?? Na pia yupo waziri wa mambo nje pia ?? Anatumia mabillion ya WaTz wakati hospitali hazina dawa ?? Wakina mama wajawazito wa3. wanalala kitanda Ki1 ?shuleni hakuna madawati?? Umaskini uliokithiri kwa watanzania na hata mlo mmoja ni issue kwa waTz ?kweli alieshiba hamkumbuki mwenye njaa .haya yote ni Laana ya ccm na vibaraka wake .Najickia hacra sana nikiangalia njinsi tulivyomasikini kutokana uongozi mbovu sana na uozo ulijaa ndani ya serikali ya ccm
 
Amemshinda hata mbayuwayu kwa kusafiri angani.Sijui Bunge lishamwandalia bajeti yake ya ziara za kuaga?Watanzania kazi tunayo.
 
Kweli huyu anajifunza udereva wa ndege
 
Mwache aende tu....kwani nini hayo ndio majukumu ya Vasco da gama wa bongo!!
 
Back
Top Bottom