Mwache akatutafutie misaada pamoja na wawekezaji
Wewe na Prof wako mnaoamini nchi inaweza kuendelea kwa misaada shem on you!!
huyo ndio Mheshimiwa Profesa Kanali Jakaya Mrisho Kikwete. Hajawahi kuniangusha katika uzururaji.
Kati ya Professa na Kanali umesahau Dr.
Hapa watanzania tuliingia mkenge......hakuna rais hapo
msalani???????????????????huyu jamaa marekani ndio msalani kwake.... Kila akijisikia kunya utasikia mbio marekani