Prof. Kikwete aenda Marekani

Prof. Kikwete aenda Marekani

ana haki kuutamani urais sababu kazi yake inafanywa na bosi asipokuwa tajiri membe basi na yeye ni mzembe. Sababu muda wa kupiga mishe zake anao mwingi sana


Membe ni mwana CCM, hivyo sishangai yeye kutokuwa na upeo wa kuona mbali.
 
Hivi mtu anaona fahari kwenda ughaibuni na anaacha nyumbani kwake hivi! Je, hao anaosema kila anachotaka wanampa si angeliwaomba japo wakamzibia hayo matundu kwenye ceiling yake ya VIP!?
Kuna post hapa inasema kuwa inawezekana hata maofisa wa ubalozi wameanza kuchoka na ndio maana wakatoa siri za contents za safari hii hadi hotel atakayolala na kiasi atakacholipa. Vivyo hivyo na waandishi wa habari huenda nao wamechoka na kuamua kuonyesha visivyoonyeshwa.
halafa camera nazo zimeshindwa hata kuficha kidogo?
-Nikiongelea mazuri ya China tutakesha sababu kila tunaloomba wanasema sawa. Profesa JK, Dodoma November 4, 2014
1415298307067.jpg
 
Jamani tatizo liko wapi?? Professor amekwenda kuandaa mazingira ya kufikia baada ya kuondoka madarakani kwani tayari ana uraia wa huko, pia anajaribu kutumia pesa yetu ya TRA vizuri wakati sisi tukichangia maabara kwa kukabana kama hatulipi kodi
 
Kikwete kama ni mzalendo sana kwanini asitibiwe au kufanya matanuzi hapa hapa nyumbani? Marekani kila kukicha yye anaona sawa.
Sikumbuki bilal alikuwa marekani lini mbona hapewi shavu?
 
Yani hata ukiuliza mtoa mada hii habari nusu ameitoa wapi hawezi kukuambia! Tangia lini Rais akasafiri bila kusema sababu ya safari?
Hii habari ya Rais kwenda marekani bila sababu umeitoa wapi?
Unataka ionekane amekwenda kutembea tuuu?
Rais amesafiri kwenda Marekani kwaajili ya uchunguzi wa afya yake ..... na atakuwa huko siku kumi!
attachment.php
 

Attachments

  • 1415341989876.jpg
    1415341989876.jpg
    53.5 KB · Views: 462
Unadhani Mungu na Malaika ni wa mchezo

MUNGU ni mwenye huruma na upendo,humlindia mabaya alie mwema na asie mwema,unadhani rais anaiwakilisha familia yake huko aendako? kwa vyovyote anawakilisha wananchi kama si wewe ni mimi au mtanzania yoyote.
 
Yani huyu jamaa ingetokea akafa ghalfa!! Muda huo huo niliopata taarifa ningerudia kunywa pombe tu kama zamani.

Mnamchulia mtawala wenu mpaka mnamuombea kifo; ndio maana siku hizi eti usalama wa Taifa unawasambaza watu wao kwenye vijiwe [ikiwamo JF] na kwenye sehemu za kinywaji hasa mabaa na groceriries kusikliza jinsi wananchi wanavyomsema vibaya DHAIFU!!
 
Natamani tusiongozwe tena na Raisi muislam maana wanapenda sana stareh,
Angalia mwinyi na kikwete alafu angalia Nyerere na Mkapa.
Jamani sina lengo baya ila tuangalie ukweli
attachment.php

Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na askari pamoja na wafanyakazi katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda ndege ya shirika la Emirates kuelekea Marekani leo Novemba 6, 2014
attachment.php

Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadik na Meneja wa Emirates katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda ndege ya shirika la Emirates kuelekea Marekani leo Novemba 6, 2014

PICHA NA IKULU
 
huyo ndio Mheshimiwa Profesa Kanali Jakaya Mrisho Kikwete. Hajawahi kuniangusha katika uzururaji.
 
Ku-check Afya tu Marekani!

Halafu bado kuna Watanzania wanaota kwamba iko siku Muhimbili itakuwa Dawa, vitendanishi na vifaa tiba!

Keep dreaming Tanzanians!
 
Back
Top Bottom