Prof. Kikwete aenda Marekani

Prof. Kikwete aenda Marekani

Mkuu Mzito K, angalia usije kuiponza jf, mkuu wa nchi kasafiri kwa safari muhimu ya kitaifa yenye maslahi kwa nchi yetu, wewe unamsingizia, amesafiri ili tuu, kwenda kupata huduma za kijamii?!. Tujuavyo sisi anaye mmoja tuu na ndiye anayetambulika officially, kitendo cha kumsingizia hayo mkuu wetu wa nchi, ni kumdhalilisha, kumvunjia heshima na kumshushia hadhi yake mbele ya jamii ya jf, kuonyeshea, kuwa japo zamani alikuwa ni "muzeiye wa michepuko!", unamaanisha hata baada ya kuingia pale "mahali patakatifu", bado anaiendeleza michepuko yake, ila kuepuka kupanajisi patakatifu pale, hiyo michepuko yake sasa ndio anaiendeshea kwa Obama?!.Oh Please tafadhali!.Pasco

He ni uongo kuwa hana make mwingine? Hili siyo kosa kwani Imani take inamruhusu. Tujadili ya msingi tuache familia za watu.
 
Nyerere mwenyewe ana laana na sasa yuko jehannam.

Ana jeuri ya kumlaani nani yule mchonga meno?

Laaana hiii unayoiona ndani ya taifa hili chanzo ni nyerere.

Simple logic ni kwamba.

Bila laana ya nyerere isingewepo ccm.

Na bila ccm asingewepo kikwete kama rais leo hii.

Hence proved that source ya laana ndani ya taifa hili ni Nyerere.

mental disability.......
 
Tujadili Ki uhalisia na kwenye hili jambo tuweke siasa pembeni,Tuongee kuhusu nchi yetu na watu wake wanaokufa kwa kukosa dawa na matibabu sahihi,Lakini kinachoshangaza umma wa wa tanzania ni kuwa......Wakati hospitali kubwaa kubwaa hakuna dawa na vifo vikiongezeka nchini Tanzania. Mh Rais anakwenda kucheki afya Marekani.....Shame on you my president Prof Jakaya mrisho Kikwete.
 
Tujadili Ki uhalisia na kwenye hili jambo tuweke siasa pembeni,Tuongee kuhusu nchi yetu na watu wake wanaokufa kwa kukosa dawa na matibabu sahihi,Lakini kinachoshangaza umma wa wa tanzania ni kuwa......Wakati hospitali kubwaa kubwaa hakuna dawa na vifo vikiongezeka nchini Tanzania. Mh Rais anakwenda kucheki afya Marekani.....Shame on you my president Prof Jakaya mrisho Kikwete.

Haja vunja constitution
 
Haja vunja constitution

Mkuu amevunja, ameshindwa kuilinda ninamaanisha haki ya kuishi kwa kila mtazania. Yeye anaipata haki hiyo marekani je nasisi tutaipata wapi?

Wizara iliomba baje yake Bilion 500 lakini serikali ya kikwete ametowa bilion kama 70 na ushee hivi kwanini? maana hapa ndipo alipovunja katiba, walipakodi wafe yeye kiguu na njia marekani ku-overhaule. Huu ni uvunjaji mkuu wa katiba yetu
 
Mimi nawalaumu saaaana waliikula pilau,kupewa kanga/tshirts na huku tano tano.....wakashawishika kumpigia kura Mr.fast jet lee Wang na CCM yake.Hakika ndo waliossbabisha sasa tunataabika huku na kule ktk vihospitali vyetu ubabaishaji.Yaani Hana hata aibu huyu Baba jamani.Waliokaa juani mchana kummpa kura Leo anawaacha solemba....yeye huyooo kapiga moja zake kuwa,kanyanyua Rasketi kisela....kapanda kwa mzee Rick Ross kukagua afya yake.But wake wooote waliomchagua nahisi they are paying for that fault.Next time watumie akili kuchagua viongozi waache njaa.
 
Watu gani wanakufa?

Umesikia kwamba MSD wameshindwa kazi ya kusambaza mada kwasababu serikali imewakopa bilion kadhaa


umesikia kwamba kati ya bilion 500 bajeti ni kama bilion 77 tu ndiyo zilitengwa na hivyo kwasasa wizara iko taabani


Kama umesikia hayo basi hakuna cha Muhimbili wala cha nini watu wanakufa kwa kwenda mbele hakuna matibabu kule wanaenda kama machinjioni tu. CCM yako inatenga fedha za katiba feki na propaganda za uchaguzi 2015. raia wafe tu
 
Huyu bwana alikuwa Marekani wiki tatu/nne zilizopita, kwanini akuongeza angalau siku mbili za kumwona daktari kabla ya kurudi nyumbani?
Tatizo la JK anaona kuwa kusafiri ni haki yake bila kujali hasara anayoiingizia taifa. Nafikiri wataalamu watusaidie kufanya utafiti wa kujua ni nani anaendesha nchi hii maana JK hayupo nchini siku zote? Ni kama "figure-head president", upo tu kama sanamu lakini kuna watu wengine ndo wanatawala.
 
mimi nawalaumu saaaaana wale waliokula pilau,buku tano tano na kupewa tisheti,kanga na kofia na mr. fast jet lee na ccm yake.Hakika hawa ndiyo waliosababisha na wengine wanataabika kwa kukosa DAWA yaani uhai WAO upo matatani.Yaani huyu baba hana hata AIBU jamani,watu wamekaa juani tangu asubuhi hadi jioni kumpigia kura ili awape maisha bora leo anawaacha solemba.Jamaa huyooooo.....kapiga moka zake kiwi fresh,kanyanyua rasketi katambaa zake kwa kina Rihana kama vile msela anavyoondoka gheto.But naamini wale wote waliomchagua they feel the pinch and next time they will use their common sense.The man has got a FAKE SMILE,smilling while killing you.:smile-big:
 
Huyu jamaa ashakuwa mgalatia, mbona anapenda Sana Marekani sijawahi kusikia Syria au Iran?

cc faiza Foxy
kahtaan

Na Ana makinda pamoja na Huyo waziri wako mkuu wamekuwa WAISLAMU manake na wao kila leo UARABUNI..

AKILI Za Kikanisa Utazijua tu.
Ovyoo.
 
Last edited by a moderator:
Watu wengine wanapiga kelele eti kwanini rais aende kutibiwa marekani tezi dume wakati hapa hospitali zetu hakuna dawa na angeweza kutibiwa hapa hapa. Rais wakati anaondoka walisema anakwenda katika ziara binafsi kupumzika. Hivyo kwa uelewa wangu mimi najua kuwa rais anajigharimia kila kitu ikiwa ni pamoja na gharama za safari na matibabu yake kwa kuwa ni binafsi. Ndio maana hata wakati anaondoka aliagwa pale uwanjani na wafanyakazi wa uwanja wa ndege wakiwemo askari na wahudumu. Hata kule Marekani hatujasikia akipokelewa au kutembelewa na kiongozi yeyote wa kule ikiwa ni pamoja na rafiki yake Obama. Hivyo acheni mambo ya binafsi yawe ya binafsi hizi kelele mnazopiga kuwa eti anamaliza pesa za nchi si za kweli. Ninyi mnafikiri kila safari ya rais inagharimiwa na kodi zenu? Rais sio masikini kiasi ashindwe kugharimia safari zake binafisi na matibabu yake. Kuna mambo mengine ni ya rais binafsi. Hata wanaotangaza mapumziko na matibabu yake ni kimbele mbele tu kinawasumbua. Watu tunamtumia sms kumtakia heri na anajibu kibinafsi wala haina haja ya kupitia katika kurugenzi ya habari ya Salva. Get well sooner Mr. President!
 
Basi na sisi kusikiliza hizo habari ni kimbelembele. Masikio ya waungwana hayasitahili kusikia maana ni habari binafsi
 
Watu wengine wanapiga kelele eti kwanini rais aende kutibiwa marekani tezi dume wakati hapa hospitali zetu hakuna dawa na angeweza kutibiwa hapa hapa. Rais wakati anaondoka walisema anakwenda katika ziara binafsi kupumzika. Hivyo kwa uelewa wangu mimi najua kuwa rais anajigharimia kila kitu ikiwa ni pamoja na gharama za safari na matibabu yake kwa kuwa ni binafsi. Ndio maana hata wakati anaondoka aliagwa pale uwanjani na wafanyakazi wa uwanja wa ndege wakiwemo askari na wahudumu. Hata kule Marekani hatujasikia akipokelewa au kutembelewa na kiongozi yeyote wa kule ikiwa ni pamoja na rafiki yake Obama. Hivyo acheni mambo ya binafsi yawe ya binafsi hizi kelele mnazopiga kuwa eti anamaliza pesa za nchi si za kweli. Ninyi mnafikiri kila safari ya rais inagharimiwa na kodi zenu? Rais sio masikini kiasi ashindwe kugharimia safari zake binafisi na matibabu yake. Kuna mambo mengine ni ya rais binafsi. Hata wanaotangaza mapumziko na matibabu yake ni kimbele mbele tu kinawasumbua. Watu tunamtumia sms kumtakia heri na anajibu kibinafsi wala haina haja ya kupitia katika kurugenzi ya habari ya Salva. Get well sooner Mr. President!

zaidi ya watz 40% akili zao zimedumaa. You must be one of them!
 
Likizo ya Rais huratibiwa na Ofisi Kuu... Matibabu ni sehemu ya Bona fide rights zake Mkuu...
 
Watu wengine wanapiga kelele eti kwanini rais aende kutibiwa marekani tezi dume wakati hapa hospitali zetu hakuna dawa na angeweza kutibiwa hapa hapa. Rais wakati anaondoka walisema anakwenda katika ziara binafsi kupumzika. Hivyo kwa uelewa wangu mimi najua kuwa rais anajigharimia kila kitu ikiwa ni pamoja na gharama za safari na matibabu yake kwa kuwa ni binafsi. Ndio maana hata wakati anaondoka aliagwa pale uwanjani na wafanyakazi wa uwanja wa ndege wakiwemo askari na wahudumu. Hata kule Marekani hatujasikia akipokelewa au kutembelewa na kiongozi yeyote wa kule ikiwa ni pamoja na rafiki yake Obama. Hivyo acheni mambo ya binafsi yawe ya binafsi hizi kelele mnazopiga kuwa eti anamaliza pesa za nchi si za kweli. Ninyi mnafikiri kila safari ya rais inagharimiwa na kodi zenu? Rais sio masikini kiasi ashindwe kugharimia safari zake binafisi na matibabu yake. Kuna mambo mengine ni ya rais binafsi. Hata wanaotangaza mapumziko na matibabu yake ni kimbele mbele tu kinawasumbua. Watu tunamtumia sms kumtakia heri na anajibu kibinafsi wala haina haja ya kupitia katika kurugenzi ya habari ya Salva. Get well sooner Mr. President!

Mh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Ngoja nikiamka nitarudi.
 
Kwani rais wa Tanzania kutibiwa kwa Gharama za nchi ashinda nini?
Hatuwezi kuwa Sawa hata siku moja, tuache uzandiki. Ndo mana ana lala ikulu na wengi wetu kwenye vibanda.
Anatembela special cars and jet wakati wengi wetu hata baiskeli hatuna. Yeye ni rais.
Tuache mikelele isiyo na maana.

Tatizo ni hii mi Richard ya Monduli, Escrow, EPA, zawadi za matofali ya dhahabu n.k.
 
Back
Top Bottom