Prof. Kikwete aenda Marekani

Prof. Kikwete aenda Marekani

teheeteheeteheeee,sasa mbona asitibiwe kwenye hospitali zetu?au kwa sababu hamna madawa?acha kuwaza kwa kutumia wowowooooo
 
jina lako linaakisi akili na uliwazalo
 
teheeteheeteheeee,sasa mbona asitibiwe kwenye hospitali zetu?au kwa sababu hamna madawa?acha kuwaza kwa kutumia wowowooooo

Wacha kujitekenya We muefeso.
Kwani umeskia Amekwenda kutibiwa kwenye Hospitali ya yesu wa msalabani!
Kwanza Kuna Hospitali Wanayotibu Mapadri Duniani zaidi ya Hayo makanisa kutoa Mapepo yenu?

Vitimoto vina haribu kichwa dada.
Utajikojolea bure kwa kucheka Ovyo!
 
Ni moja kati ya laana za Mwl. Nyerere. Mtu kagombania Tanzania iwe huru mpaka akafungwa na wakoloni, leo hii anakuja msanii kuwa rais unafikiri Nyerere huko aliko ana Raha?

Nyerere yuko Jahanamu ya moto anachomeka Ovyo! Raha aipate wapi?

Ktk Marais wote hapa Nchi hakuna aliyefanya Dhulma Kwa raia wake km Yule Mchonga meno.
Kadhulumu mpaka Nyumba Za watu walizojenga Kwa Jasho lao.
Kawachomea nyumba wananchi maskini na kuwalazimisha kwenda kuishi maporini akikuita vijiji vya ujamaa wakati yeye na ile Nyapi yake wako Butiama wanakula bata za Nchi yetu!

Alipokuja ALHAJI ALI HASSAN MWINYI akarudisha mali nyingi sana Alizodhulumu yule Mchonga meno.

Kikwete Pia anajaribu kadri ya uwezo wake Kuziba Mapengo aliotuachia KIKWAPA.
Yule MKAPA nae wakati kachukua nchi alikuwa Mwembamba.
Kaachia madaraka ana tumbo Ka Captain Komba.

Balaaa.
 
Nimewasiliana naye asubuhi hii kwa sms. Anaendelea vizuri sana na ametoka hospitali na kuhamishiwa hotelini.
 
Back
Top Bottom