Prof. Kikwete aenda Marekani

Prof. Kikwete aenda Marekani

Mwache akatutafutie misaada pamoja na wawekezaji

Waliozowea kukinga bakuri hawezi kufikiria njia mbadala yakujikwamua kwasababu wanaamini kwa kujidanganya eti huko nje ndipo kuna pesa nyingi kuliko hapa!
 
Ndege ya rais ya bilioni 40 ina matatizo?
Kwa hiyo ndo siku 20 hivyo!
Huyu rais ana matatizo kwelikweli...sijui tuliletewa na nani!!!!



Hatukuletewa ila alisimikwa na CCM ndipo aka force kuwa rais kwa kuiba kura ili akae madarakani na kutetea maslahi yake yeye pamoja na viongozi waliopita!
 
Ni kama Mungu ametuadhibu kutuletea huyu VDG...!

Sijui hii adhabu tutaacha kuitumikia lini ee Mungu tusamehe tulikosea
Duh... huyo Rais wetu kweli ni kiguu na njia!

Wacha aitwe hiyo aka yao Vasco da gama.

Hilo jina linamfit kisawasawa, hivi Si majuzi tu karejea kutoka ziara ya China na Vietnam?

Hivi waziri wetu wa nje, Membe, ana shughuli gani, iwapo mambo yote ya nchi za nje, anayafanya mwenyewe Presidaa Profesa Jakaya Kikwete?!
 
Ni kama Mungu ametuadhibu kutuletea huyu VDG...!

Sijui hii adhabu tutaacha kuitumikia lini ee Mungu tusamehe tulikosea



Ni moja kati ya laana za Mwl. Nyerere. Mtu kagombania Tanzania iwe huru mpaka akafungwa na wakoloni, leo hii anakuja msanii kuwa rais unafikiri Nyerere huko aliko ana Raha?
 
Eeeh Mungu deliver our beautiful land Tanzania! Watanzania tumuombe Mungu anaweza kabisa kutenda neno lolote tunalotaka! Binafsi naomba sana na naamin ukombozi wa nchi hii hauko mbali!
Amen!
 
Duu!!! Kazi kweli kweli. Haikuwa na haja ya kuwa na waziri wa mambo ya njee



Nahisi Membe anaona anafanyiwa mchezo mchafu na bosi wake. We umeona wapi hapa duniani rais ana act kuwa Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa at the same time anakuwa rais? Mimi ningekuwa Membe ningejiuzuru kwani anaonekana hajuwi kazi.
 
Duu!!! Kazi kweli kweli. Haikuwa na haja ya kuwa na waziri wa mambo ya njee


Nahisi Membe anaona anafanyiwa mchezo mchafu na bosi wake. We umeona wapi hapa duniani rais ana act kuwa Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa at the same time anakuwa rais? Mimi ningekuwa Membe ningejiuzuru kwani anaonekana hajuwi kazi.
 
Anaenda kumwangukia Mmarekani maana nimesikia amekasirishwa na mikataba aliyowapa wachina na Warusi ambao wako mbioni kuja kuwekeza Tanzania.
 
Mwezi uliopita tu alikuwa Marekani kabla ya Kwenda Asia,anakuja tena Duuu!
 
Siku hizi haitwi tena Dkt?

Halafu hilo dali hapo juu kwenye picha ya kwanza niaje?

Anaenda Marekani kufanya nini? Kuhudhuria tamasha la Jay Z, Beyonce, na Blue Ivy?


Anakwenda kusimika mashina ya watanzania wasio na upeo wa maendeleo ya nchi. Kwa kifupi mashina ya CCM, huko Marekani!
 
Akili za wanaccm hizi.Kilaza wewe misaada kwa ajili ya familia yako huwa unaombea wapi?Ilikuwaje matonya mkawa mnamrudisha Dodoma hali yeye,rais wako na wewe mwenyewe akili ni moja


Muonee huruma, huyo ni #TeamRidhiwani au #KikweteNiBaba hivyo kuongea porojo at any cost kutetea ujinga kama huu ni moja ya kazi yao.


Source: Waraka wa Salva Rweyemamu wa Ikulu kwa mambumbumbu wote wa hizo teams hapo juu.
 
Siku hizi haitwi tena Dkt?

Halafu hilo dali hapo juu kwenye picha ya kwanza niaje?

Anaenda Marekani kufanya nini? Kuhudhuria tamasha la Jay Z, Beyonce, na Blue Ivy?

Hayo ndio yanayomkimbiza.....nakumbuka nilipokuwa mdogo jirani walikuwa wanaishi kwenye jumba la ukweli....Video (enzi hizo ni ishu kubwa)...ukivizia muda wa lunch, msosi wa ukweli,mboga saba...tulikuwa hatubanduki getini...kuna wakati tunafika hata hawajaamka.
 
Back
Top Bottom