kachelo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 230
- 240
Baba utunusuru na hili janga. Alizaliwa TZ, clinic kapelekwa hko hko kijijin kwao cjui chalinze!, alikuwa akitibiwa hospital za hapa hapa bongo mpaka kafikisha umri wa utu uzima, hata alipokuwa jeshin alipata matibabu hapa hapa, leo hii kuukwaa uongozi akiwa ni kijana mzee eti anaenda matibabu marekani???!! Nimegundua kwa nini wakilazagwa hko nje tunarudishiwa maiti huku kwetu. Na mifano ya viongozi wengi wa bara hili ambao leo hii ni historia na kumbukumbu zao ndo zimebakia baada ya kwenda kutibiwa nje.