Prof. Kikwete aenda Marekani

Prof. Kikwete aenda Marekani

Prof.JK ofisi yake ipo angani hivyo kila anapotua ardhini anakula Per diem iwe Tanzania,USA,Asia nk.
 
MUNGU ni mwenye huruma na upendo,humlindia mabaya alie mwema na asie mwema,unadhani rais anaiwakilisha familia yake huko aendako? kwa vyovyote anawakilisha wananchi kama si wewe ni mimi au mtanzania yoyote.

Umeambiwa ameenda kuchunguzwa afya yake, kwa hiyo uchunguzi huo anaiwakilisha nchi?
 
Manufaaa ya kujazana mimba kwenye misafara
vipi na wewe ulishajazwa mimba kwani? kama ndio je unamjua hata aliyekujaza hiyo mimba? maana kwa jinsi unavyogawa....... kotekote,,,,,,.
 
Duh!!! yaani alikaa huko kwa wiki mbili hakuweza kuchunguzwa afya yake angalau kupunguza matumizi ya serikali aliamua kurudi tu nyumbani ili atengeneze ziara nyingine.
 
Dawa yake ni kukuta gaidi lishaingia ikulu na kujipa uraisi akirud anaipata fresh
my dia unatisha kila jukwaa nikienda nakukuta, zikitolea tozo lazima uchukue hapa jf, mchangiaji chipukizi wa mwaka..... unatishaaa
 
bora asirudi kabisa amfate michael sata alikoenda bhanaaa tumechokaa sasa
 
Safari za Kikwete zina manufaa sana.kwa Taifa

Kwasababu wewe unaosha rungu lake, hiyo haina manufaa kwa taifa. Ni kati yako wewe na yeye.

Mnatia kinyaa sana mnapofurahia madudu ya huyu kiruka njia.
 
JK hakikisha unamalizia na nchi jirani mfano Trinidad, Tobago, afu ukirudi pitia Brunei, Djibouti, yaani hakikisha unabakiza nchi zenye migogoro tuuuu kama Libya
 
Sio siri hawatujali kabisa, yaani Baba anaenda Marekani kucheki afya wakati sie tunakufa hapa Mwananyamala kwa kukosa dawa, kweli watanzania wote sasa tuna PHD ya uvumilivu na kila mtu ataitwa Dr Dk dkt
 
Na deni ni kubwa dawa sijui itakuwajee aisee hii nchi kila kitu ni madenii
 
bla shaka la professery kaenda kutubu makosa white house kwa kupakia meno ya tembo ktk ndege ya rais wa china hahahaaaa! chezea obama ww asipoangalia atakula ata vboko
 
Umeniacha gizani!, bado sijaelewa elewa hapa unamaanisha nini?!

Pasco
Mkuu Pasco, sisi waislam kuoa wanawake wasiozidi wanne ni sunna. Aya zinatuamrisha tuwawekee zamu ya kufanya mambo ya 'kijamii'. Sasa kitendo cha kumwacha bi Salma ni kuwa huko US anaenda kustawisha mambo ya kijamii.
Si unajua tena ukiwa na jamii si ni lazima ujamiiane?

Asante
 
Last edited by a moderator:
China hamna daktari wa kiibola mwacheni aende tu huko U.S.A dada mmoja wa kichina karibuni alitibiwa akapona.
 
Nakushauri ungejikita kwenye fani yako ya udaku kipaji chako ndiyo kipo huko siasa hauwezi, mtafute Shigongo.
Duh! Na wewe siku hizi umekuwa mshauri? Yani mimi na akili zangu nifuate ushauri wako? Haki ya nani kama kuna watu huwa wanakusikiliza unapowapa ushauri basi akili zao zitakuwa ni makamasi kama wewe ulivyo kamasi.
 
Back
Top Bottom