Prof. Kabudi afunika bungeni


Sifa za kipuuzi, hao uliwataja kuwa ni wasomi ni kipi wamefanya cha maana katika nchi hii? Mwingine sio ndio huyo ameamua kugombania uenyekiti alioukataa na sasa anaendesha genge la mauaji huku akishirikiana na serekali? Kumbuka mtu kama Lipumba ndio walioandika proposal jinsi ya kubinafsisha viwanda leo hii vijana wanazunguka na chupi na soks tatu mkononi eti ni wamachinga. Nilitaraji ungetuonyesha kwa ufaulu wao wamefungua miradi gani ya uzalishaji mali iliyowapa ajira watanzania katika kupambana na umaskini. Sio unatuandikia eti ni wasomi waliovunja rekodi wakati wanashinda kwa waganga wa kienyeji wasikose ajira kwenye taasisi mbalimbali.
 
huwa nachukia sana kuona mnawatofautisha wabunge wakiwa mjengoni kwa kusema hawa ni wapinzani na hawa ndo wenyewe
 
Je, ni sahihi kwa nchi kuwa na sheria ambazo zina favour baadhi ya makabila? Iweje kuwe na sheria zenye vifungu vinavyo-favour ukabila halafu Tanzania kusiwe na ukabila?

Kulikuwa na haja gani ya kujipambanua kuwa yeye ni Prof. wa sheria?

'kwa bahati mbaya' ila kwenye Kiswahili hakuna bahati mbaya. Sasa alitamkaje hilo neno kama hakuna kwenye Kiswahili?

Katoa factors za kubadilisha au kutunga sheria na kuziacha nyingine halafu alikuwa amesahau hiyo ya wa Maasai na Mabohola as if wao muda umesimama.

Je, hiyo sheria ya ndoa bado serikali ina negotiate na Wamaasai na Mabohola?
 
ukweli usemwe Prof Kabudi yuko vizuri jamani ...ila nikazie tu hapo aliposema kamanda Mwita waitara Wasipo mharibu tutaenda vizuri
 
Yuko vizuri. Nimempenda.
 
Kama Sugu katoa macho, wale ndugu zangu wengine akina Msukuma, Lusinde na Majimarefu company, wao si watakuwa wametoa vipumulio kabisa.
 
Yeyote aliye ndani ya ccm ni adui wa maendeleo ya kweli kwa watanzania. Vimaendeleo wanavyofanya ni vya hadaa ya kuombea kura tu kipindi cha uchaguzi. Tunasubiri mtakavyotetea ununuzi wa ndege kwa maendeleo ya Taifa kipindi cha kampeni
Kula like Mkuu
 
Yuko vizuri ndio maana aliteuliwa. Atawanyoosha wabunge vilaza kama yule mwenye zero form 6 yule mwenyekiti
 
Yeyote aliye ndani ya ccm ni adui wa maendeleo ya kweli kwa watanzania. Vimaendeleo wanavyofanya ni vya hadaa ya kuombea kura tu kipindi cha uchaguzi. Tunasubiri mtakavyotetea ununuzi wa ndege kwa maendeleo ya Taifa kipindi cha kampeni
Bavicha bana hamtaki kukubali ukweli.Eti vimaendeleo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…