Ipo.😅😅😅 iyo size haipo mwisho 43...
Anaongea ukweli lakini ugonjwa wa figo umeanza kuwa tishio
Hapa ndio unapokosea... Unene au wembamba is your own makingMagonjwa yapo tu, unakuta daktari naye ndo wa kwanza kuwa na magonjwa.. Tumtegemee Mungu.. Miili hii ametoa Mungu kwamba wengine wawe wembamba na wengine wanene.. Mbona wafupi au warefu hawasemangwi.. Huu ni uumbaji tuache haya mambo
Fuata ushauri wa JanabiDaah me navaa 48, nimepiga tizi sana wapi!!
Mbona wenzetu wanene mnapenda sana kumshirikisha Mungu kwenye miili?Magonjwa yapo tu, unakuta daktari naye ndo wa kwanza kuwa na magonjwa.. Tumtegemee Mungu.. Miili hii ametoa Mungu kwamba wengine wawe wembamba na wengine wanene.. Mbona wafupi au warefu hawasemangwi.. Huu ni uumbaji tuache haya mambo
KweliAnaongea ukweli lakini ugonjwa wa figo umeanza kuwa tishio
Mazoez muhim ndio njia yakuepuka tatzo hiloHii ni hatari na nusu sijui tutakwepaje
Upo?Asante kwa elimu