Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,956
- 6,330
Agawe mitaani ili iweje sasa? Nani aliwahi fanya hivyo? Labda kama unamsemea Askofu wa ArushaKisha akagawa mapesa ya ofisi mitaani kama njugu...
Agawe mitaani ili iweje sasa? Nani aliwahi fanya hivyo? Labda kama unamsemea Askofu wa ArushaKisha akagawa mapesa ya ofisi mitaani kama njugu...
Hawa ndio watz tunaowaongelea.....aisee we have a long way to go..mbaya zaidi huyuu ni mama...yelewiiii ngachokaaaaaa..Ukute Mzee Mwinyi alikua role model wa Mama Samia enzi akiwa hana hata ndoto ya uongozi. Hata ningekua mie ningetoa zawadi aiseee
Tanzania simama niteremke nimechoka na hizi humps"Nilihudhuria 70th (1992) birthday ya Mwalimu. Sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha. Alipokuwa anaondoka, mama mmoja kampa portrait yake aliyechora mama huyo mwenyewe. Akamambia msaidizi wake apokee. Zawadi ya Benz kwa Mzee wetu ikanishtua kidogo."
-- Issa Shivji kupitia Twitter
Sijui kwa nini wazo la Vijana kuwa na Baraza/Jumuia yao rasmi nje ya vyama vya siasa linapuuzwa hasa na serikali.
Vijana hawawezi kuwa wamoja kupitia Jumuia za vyama kwa kuwa Jumuia hizi zinawagawa kuliko kuwaunganisha!
Magufuli alimjengea KIKWETE nyumba.
Magufuli alimjengea MWINYI nyumba.
Rais Suluhu amemnunulia MWINYI Gari la Anasa, aina ya Benz.
Hivi Marais hao wastaafu wenye kulipwa nusu ya Mishahara ya Rais aliyeko madarakani Wanashida hizo?
Hawamudu gharama?
Mr mkiki
Fedha za kufanyia mambo ya msingi hazipo ila fedha za kufuja ndizo zimejaamwambie profesa.
ZAMA ZIMEBADILIKA.
Kipindi cha Nyerere sio cha Samia.
Fedha za kufanyia mambo ya msingi hazipo ila fedha za kufuja ndizo zimejaa
Ipo haja siku moja tuwaonyeshe kuwa watanzania tunajitambua, Mwendazake alisema nchi hii ni tajiri sana, inaweza kuwa donor country hatukumuelewaBila Shaka.
PESA IPO
Mambo ya wasiasa hayaeleweki. Two days ago kawaambia wastafu hawezi kuwalipa elfu 30 kama pensheni. Mwinyi anapewa brand new Benz!! Wenye nchi halo. Sie tulie tu."Nilihudhuria 70th (1992) birthday ya Mwalimu. Sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha. Alipokuwa anaondoka, mama mmoja kampa portrait yake aliyechora mama huyo mwenyewe. Akamambia msaidizi wake apokee. Zawadi ya Benz kwa Mzee wetu ikanishtua kidogo."
-- Issa Shivji kupitia Twitter
Sijui kwa nini wazo la Vijana kuwa na Baraza/Jumuia yao rasmi nje ya vyama vya siasa linapuuzwa hasa na serikali.
Vijana hawawezi kuwa wamoja kupitia Jumuia za vyama kwa kuwa Jumuia hizi zinawagawa kuliko kuwaunganisha!
Magufuli alimjengea KIKWETE nyumba.
Magufuli alimjengea MWINYI nyumba.
Rais Suluhu amemnunulia MWINYI Gari la Anasa, aina ya Benz.
Hivi Marais hao wastaafu wenye kulipwa nusu ya Mishahara ya Rais aliyeko madarakani Wanashida hizo?
Hawamudu gharama?
Mr mkiki
Wenye Nchi ni sisi sema bado asilimia kubwa vichwa wanatumia kama Mfuko wa kubebea menoMambo ya wasiasa hayaeleweki. Two days ago kawaambia wastafu hawezi kuwalipa elfu 30 kama pensheni. Mwinyi anapewa brand new Benz!! Wenye nchi halo. Sie tulie tu.
Ajabu sana. Ghafla Scholars wameana kuongea. Hiyo zawadi ingetolewa kipindi cha marehemu, hakuna yoyote angeweza kutoa neno. Mwisho, hizo gari (Beinz) hauingii dukani na kutoka nayo papo hapo. Lazima ufanye order. Hilo gari liliagizwa labda kabla hata ya janga la Covid 19.Issa Shivji nae kaanza kuongea?
Alivyo jifanya bubu wakati wa Magufuli? Keshasahau?
Shivji ni communist..failed ideology...
Mkuu wenye nchi gani sisi tuganga njaa!!! Wewe nyumba umejenga? Kama umejenga fikiria jinsi ulivyohangaika sana!!!! Sasa wenye nchi wamestaafu na pensheni ya nusu mshahara wa raisi, pamoja na ulinzi, halafu nyumba wamejengewa pamoja na kwamba wao wenyewe walishajenga, na sasa benz mpya!!!! Tungoje sherehe ya kuzaliwa JMK sijui atapewa gari gani!!!! Hapo sijawataja wanaosinzia bungeni na wanalipwa fedha nyingi sana. Kuna mama ndiyo kwanza kaingia na kasifia sana kuwa kumbe mjengoni ni kuzuri hivyo! Alikuwa hajui masikini. Huo uzuri anaosifiwa si uzuri wa jengo au vitu anavyoviona ni michuzi!!!! Hao ndiyo wenye nchi na nimewaacha akina aka masamaki na aka kakoko na watu wa jinsi hiyo. Unakutwa na 7M nyumbani na takukuru wanasema wamemkuta na fedha kidogo tu. 7M ni kidogo kweli? Sasa hao ndiyo wenye nchi 3M kwao ni pesa ndogo sana sana wakati kwetu kupata 1M tu shughuli kubwa sana.Wenye Nchi ni sisi sema bado asilimia kubwa vichwa wanatumia kama Mfuko wa kubebea meno
unafiki tu unamsumbuaKuna hawa wazee bado tu wanataka tuishi kama miaka ya 80 sababu Nyerere hakufanya hivi basi sote tufanye kama Nyerere. Miaka hiyo pesa za mishahara tu ilikuwa shida.
Ila jamani nchi kuna watu wana roho za korosho wanamuonea wivu mpaka mzee wa miaka 96. Je kama kuna watu wametoa hiyo pesa wamempa Mama ampe mzee watasemaje.
Halafu hizo gari 20 JPM alipewa zawadi na mfalme wa Morocco. JPM wakati wake alikuwa anatembea na mabunda anawapa watu njiani lakini wazee kama hawa roho za korosho walikuwa wameufyata kimya.
Hata mwaka "haujesha!!" Mshasahau kuwa mkuu wa Malaika alivyokuwa akigawa pesa kwa "wanyonge" majiani...Agawe mitaani ili iweje sasa? Nani aliwahi fanya hivyo? Labda kama unamsemea Askofu wa Arusha
Ahahahah, zikaongeza mzunguko wa fedha? Angalau aliwasaidia waliodhikika, sio ile ya wenye access na upigaji wapige kweli kweli huku wakilindwa.Hata mwaka "haujesha!!" Mshasahau kuwa mkuu wa Malaika alivyokuwa akigawa pesa kwa "wanyonge" majiani...