Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

huna kitu kichwani, jibuni hoja kuwa lipumba ameistukia ukawa

Hadith za Abunuasi ndio mnatuletea hapa.u Hatuwezi jibu uzushi usio na kichwa wala miguu. Hiv kuna mtu anasoma hayo magazeti, kapuni zenyewe zimeshindwa biashara zinategemea ruzuku za lumumba. Dont waste our time kijinga limbukeni we!!!
 
Front page ya gazeti la TAZAMA imeandikwa, 'CUF waishtukia UKAWA' chanzo Prof. Ibrahim Lipumba,
Pia front page ya gazeti la UHURU imeandikwa 'Vigogo CDM waipinga UKAWA'

Niliuliza siku moja kuwa, kina Lipumba na Mbowe wanataka kuja kutueleza nini wananchi ambacho hatukukiona BMK.
Sasahv wameanza kuuza front pages za magazeti. Ebu waje hapa watueleze WALICHOKISHTUKIA kama ni waungwana!

Magazeti yenyewe kumbe ni yale ambayo mama Maria ana pangiwa kuyasoma yatakuwa na habari gani ya maana zaidi ya umbeya.
 
leta habari kamili, kichwa cha habari lini kilikuwa habari? ndio maana kuna muhtasari na habari kamili, otherwise hayo ni majungu..
 
huna sababu ya kuyakashifu magazeti hayo. Cha msingi kwa statent hiyo ni kujiuliza kama kweli prof Lipumba ameyasema hayo maneno. Au kufanya utafiti wa kubaini kuwa kweli kauli hiyo imetamkwa popote na prof lipumba au viongozi baadhi toka cdm. nje ya hapo wewe huna tofauti na hayo magazeti unayoyaponda

Kuna haja gani ya kuuliza habari zinazoandikwa na TAZAMA na UHURU na sio magazeti mengine yenye hadhi ?
 
Yaani hayo magazeti yanayoandika page mbili propaganda,Page 7 utabiri wa nyota,matangazo ya waganga wa kienyeji na pia makala za kuwachambua Illuminati kisha page moja ya habari za Simba na Yanga au Manyema FC ndiyo unatuletea hapa kama reference au reliable source? Please,We deserve better than this.

Aaaah kwa sababu habari haiko on your favour......
Lingekua gazet lenu la chadema ingekua ni habar...
Kajipange mtembeza simu ww
 
Huku vijijini hatuna umeme,sola wala tv,tumekuwa tukisikia kuwa kuna watu wanawatukana waasisi wa taifa letu kupitia radio zetu za kikulima.
WENYELE NAOMBA UAINISHE AINA YA MATUSI WALIYOTUKANWA WAASISI WETU PIA NANI ALIWATUKANA.
UKAWA ni genge la swala na Simba,dhambi ya kumtukana Baba wa taifa itawafuata mpaka majumbani kwao
 
Habari ya mjini sasa hivi ni 200 bil na mauaji ya afisa Wa EWURA! Single zingine haziuzi sasa hivi!
 
Yaani hayo magazeti yanayoandika page mbili propaganda,Page 7 utabiri wa nyota,matangazo ya waganga wa kienyeji na pia makala za kuwachambua Illuminati kisha page moja ya habari za Simba na Yanga au Manyema FC ndiyo unatuletea hapa kama reference au reliable source? Please,We deserve better than this.

Ha ha ha ha ha ha kwi kwi kwi kwi kwi! Taratibu mkuu nitapaliwa na kahwa bure ila sio umenivunja mbavu aiseee kwa hii post.
 
UKAWA ni genge la swala na Simba,dhambi ya kumtukana Baba wa taifa itawafuata mpaka majumbani kwao

Ukawa wana jadili hoja za wananchi wewe unajadili hoja za nani
a) ccm
b) za kwako
c) hujui.
 
Ndoa ya CCM na CHADEMA imekufa,kwasas CHADEMA kapata mume mwingine kupitia mshenga UKAWA.
 
Kula li-likeeee ilo mkuu

Kwa akili hizi kweli mnahaki ya kutumika kama dume condom ,furaha yako hasa ipo kwenye nini?
a) kufurahia wizi wa fedha za umma bila hatua kuchuliwa
b) kuwa lea wezi wana filisi rasilimali za umma yakiwemo mabilioni ya fedha.
c) serikali kushindwa kutoa huduma bora ha za afya kwa miaka 50
 
Gazeti waandishi wake wanategemea ushauri wa akina makonda unategemea waifagilie ukawa?
 
Kwa akili hizi kweli mnahaki ya kutumika kama dume condom ,furaha yako hasa ipo kwenye nini?
a) kufurahia wizi wa fedha za umma bila hatua kuchuliwa
b) kuwa lea wezi wana filisi rasilimali za umma yakiwemo mabilioni ya fedha.
c) serikali kushindwa kutoa huduma bora ha za afya kwa miaka 50

Tena bora wezi ambao wameshiba....nyie mna njaa mkiingia kuiba mtaiba ad unga na sukari bot....peleken njaa mbelee ukoo...

Ok tuseme tunawapigia kura muupate urais....tunapiga cdm?.ukawa?,,nccr?,,cuf?,,
Mmevurugwaaa nyieee
 
Back
Top Bottom