sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,055
- 715
Wewe inaonesha umezaliwa hivi karibuni&umebahatika mapema kupata simu janja,wote tuliosoma zamani kubadilishiwa jina lilikuwa jambo la kawaida
Kwanini abadili jina hao ndio walikua wanabana majina ya wengine enzi zile shule zikiwa chache