Pole sana Professa Assad.
Mimi binafsi nilisikitika sana kwa uonevu uliofanyiwa kwa kustaafishwa bado ukiwa hujatimiza umri wako wa kustaafu. Ulisimamia ukweli, ulikuwa mwadilifu na mkweli kwa nchi yako lakini haya yote wakubwa hawakuona na bado wakakukejeli. Kama katiba inavyosema CAG ili kustaafu kwa CAG ni lazima atimize miaka 65 isipokuwa anaweza kustaafishwa kabla ya 65 kama haya yatamtokea. (1) Kama akili yake siyo timamu (2) Kifo (3) vitendo vya kimaadili n.k.
Hivi vyote Professa hakuwa nazo na bado umri wake ulikuwa miaka 58. Huu ni uonevu mkubwa sana kwa wakubwa wa Mamlaka na hivyo mimi ninakushauri uende Mahakamani ili utafute haki yako hata kama hawatakurudisha lakini wajifunze na jambo kama hili lisirudiwe tena.
Soma > Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu
Mimi binafsi nilisikitika sana kwa uonevu uliofanyiwa kwa kustaafishwa bado ukiwa hujatimiza umri wako wa kustaafu. Ulisimamia ukweli, ulikuwa mwadilifu na mkweli kwa nchi yako lakini haya yote wakubwa hawakuona na bado wakakukejeli. Kama katiba inavyosema CAG ili kustaafu kwa CAG ni lazima atimize miaka 65 isipokuwa anaweza kustaafishwa kabla ya 65 kama haya yatamtokea. (1) Kama akili yake siyo timamu (2) Kifo (3) vitendo vya kimaadili n.k.
Hivi vyote Professa hakuwa nazo na bado umri wake ulikuwa miaka 58. Huu ni uonevu mkubwa sana kwa wakubwa wa Mamlaka na hivyo mimi ninakushauri uende Mahakamani ili utafute haki yako hata kama hawatakurudisha lakini wajifunze na jambo kama hili lisirudiwe tena.
Soma > Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu