View attachment 2065734
Prof.Assad ametoa maoni yake kuhusu mfumo wa siasa wa nchi yetu. Siasa yetu inatufanya tusiwe na malengo yanayopimika. Anashangazwa na waziri kuzunguka kuchukua kero za wananchi wakati Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya wapo huko. Anasema labda sababu ni kupata posho tu.
Anasema watu wanazunguka kutaka ku score point za kisiasa tu.
Amegusia kuhusu kilimo. Anasikitika sana kuona kilimo kinaimbwa wakati hakuna mabwawa ya kutosha. Anashangaa serikali imeacha maji yaende baharini/ziwani kama vile bahari ndio ina shida na maji kuliko sisi
Watu wa Misri, Libya, Tunisia, Morocco wakija tanzania wakaona tuna uhaba wa maji au umeme watashangaa sana tuna akili gani.
Huyu kwangu ndio professor sasa sio yule macho kodo!View attachment 2065770
Ilibidi Hawa jamaa waonje kuwa Chama pinzani walau term moja ya 5yrs akili zingewakaa sawasawa ..nafikiri wamelewa usingizi wa kisiasa mno...
Huy
Huyu mzee anazeeka vibaya sana
Tutahamia uchumi wa buluu
Pole ndugu. Unafikiri CCM wapo madarakani kwa ukosefu wa sera za wapinzani?
Daaaah huyu jamaa ni kichwa. . Ni assert za nchi
Hapo yuko juu ya mstari, labda watu wengi watadharau lakini haingii akilini kuona kama mfumo haufanyi kazi hadi mtu mwenye cheo cha kisiasa anazurura mitaani kutatua kero.Anashangazwa na waziri kuzunguka kuchukua kero za wananchi wakati Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya wapo huko. Anasema labda sababu ni kupata posho tu.
Sahihisha sentence yako, ni viongozi wenye uwezo mdogo sana wa akili lakini baada ya kukalia viti wametunga sheria kuhakikisha hawatoki madarakani. Wanadhibiti vyombo vya ulinzi na usalama, tume ya uchaguzi na bunge.Inawezekana sehemu kubwa ya nchi yetu watu wake wana uwezo mdogo sana kiakili na kufikiri kwa logic.
Assad Yuko sahihi kabisa
Hiyo benki ya kilimo ni kama pambo la kisiasa tu it is not efficient at all.
Kwa bahati mbaya sana hakuna administration hata moja ambayo imechukulia kilimo kwa uzito wake wakati ndio shughuli ambayo inafanywa na 80% ya watanzania.
Hakuna efforts za kihakikisha kuwa tunahifadhi mbegu zetu asilia ukiachana na hizi za kizungu wanazotuletea ambazo ukishapanda mara moja huwezi irudia tena.
Huwezi kuing'oa meli ya CCM huku nanga za vikosi vya ulinzi na usalama, tume ya uchaguzi na bunge zimekita chini.Ikitokea chama cha siasa kikakomaa na hoja ya kilimo na wakulima, kitaing'oa CCM mapema asubuhi.
Viwanda havikuachwa na wakoloni, vilijengwa na Nyerere, vikauzwa na Mkapa.Tangu lini mwafrika akawa na akili ya kujiongoza mwenyewe, hawa viumbe ni special species ambao wana element ya kutawaliwa na kuongozwa.
Mfano mwingine ni vile viwanda tulivyoachiwa na wakoloni vyote vimekufa, viongozi waliingia tamaa wakaviuza kwa wahuni, wahuni wakang’oa mashine na kuvitelekeza.
View attachment 2065734
Prof.Assad ametoa maoni yake kuhusu mfumo wa siasa wa nchi yetu. Siasa yetu inatufanya tusiwe na malengo yanayopimika. Anashangazwa na waziri kuzunguka kuchukua kero za wananchi wakati Mkurugenzi na Mkuu wa Wilaya wapo huko. Anasema labda sababu ni kupata posho tu.
Anasema watu wanazunguka kutaka ku score point za kisiasa tu.
Amegusia kuhusu kilimo. Anasikitika sana kuona kilimo kinaimbwa wakati hakuna mabwawa ya kutosha. Anashangaa serikali imeacha maji yaende baharini/ziwani kama vile bahari ndio ina shida na maji kuliko sisi
Hili suala la mawaziri kuzunguka mikoani mfano stendi za mabasi kukakugua tiketi lidhibitiwe kupunguza matumizi ya serikali hasa kipindi hichi ambapo kuna mjadala mkali kati ya kukopa zaidi au kuongeza tozo.