Prof. Anna Tibaijuka amkosoa Mh. David Kafulila

Prof. Anna Tibaijuka amkosoa Mh. David Kafulila

kwani hao wabunge wanapopinga maoni ya watu wengi, wa wametumia aina gani ya sampling kupinga statistical data. au kama vipi tuwape nafasi kila mmoja arudi jimboni kwake akusanye maoni ya wananchi wake ndio apate nguvu ya kubisha statistical data za tume.
 
kwani hao wabunge wanapopinga maoni ya watu wengi, wa wametumia aina gani ya sampling kupinga statistical data. au kama vipi tuwape nafasi kila mmoja arudi jimboni kwake akusanye maoni ya wananchi wake ndio apate nguvu ya kubisha statistical data za tume.

Na hayo mambo mengine waliyokubali kwenye rasimu mbona hawasemi sampling?
 
Professor aliyeshindwa kutoa suluhisho la matatizo ya jamii yake na kukimbilia pesa /uongozi ni sawa na jitu lenye nguvu lililopewa chakula kilicho baki ili akalete chakula kwenye kijiji cha mbali na yeye akahamua kutokomea huko.
Tatueni matatizo ya nchi sio kutuletea vingereza vingi tu hapa.

hahahaha unahitaji ushauri Mujungu. mbona umetoka nje ya mada!!! basi tengeneza uzi wako juu ya lawama za uwajibikaji!! ili kichwa cha uziwaki kisawili yanayojadiliwa
 
Baada ya kuwanyima watanzania Elimu bora mnasema wao si......... .kwa taarifa tu, uprofesa wa kitaa ni zaidi ya maprofesa wanaotumikia ulaji wa kisiasa
 
Huyo Prof Tibaijuka anaweza kuwaambia Watanzania ni kifungu gani kwenye hadidu rejea kinachoongelea 'stratified sampling?

Sijui kwa nini wabunge wa CCM wameamua kujitenga na wananchi? Wako sooo out of touch!

Nani alitegemea Prof Tibaijuka angekuwa kinara wa udikteta kama anavyofanya huko Dodoma?

Mkuu siyo tu Tume ilikutana na wananchi wakatoa maoni bali hata yule ambaye alishindwa aliweza kuwasilisha maoni yake kwa maandishi kupitia barua na mitandao. Kama huyu mama angekua na hoja kwamba kuna wapiga kura wake walishindwa kuwasilisha maoni yao kwa njia zote zilizo tumiwa na Tume ningemwelewa.

Maoni yake ambayo bila shaka hayatoki rohoni bali yakiangalia maslahi finyu sana ya leo na kesho kisiasa ni kielelezo na mfano wa wasomi wachumia tumbo waliojazana ktk Siasa za Kibongo. Huwezi tofautisha Anna Tibaijuka na John Komba ama Ole Sendeka wakiwa jukwaani. Ni aibu. Na hatuwezi andika Katiba ya maana kwa wajumbe wengi wenye akili hizi za kuchumia tumbo.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
wadau nilikuwa naangalia habari,Prof. A Tibaijuka amesema Mh. Kafulila hakuwa sahihi alipokuwa anazungumzia kuhusu "samples" alisema,alichokisema kafulila siyo "stratified sampling" wala "non-stratified sampling" maana Tume ilikuwa inawahoji watu wa aina yoyote waliojitokeza mbele yao hivyo haikuwa inapanga iwafikie watu wa aina gani.
(haya mambo ya sampuli hayo,wataalamu mnasemaje?)

maombi ya kakobe kazini...tunawachanganyia lugha wasielewane kwa jioa la YESU
 
wajumbe sasa nimeanza kuamini kua ukiwa katika chama hichi ni kwel waweza kua hata kipofu wa kuona mawazo yapi ni sahihi na yapi sio sahihi,sikutegemea kama Prof kama huyu angesema hayo ila naw nimeamn kule weng hawatumii vichwa kufikiria.
Tanzania ina watu zaid ya 40 Million ila Kikwete alichaguliwa na watu less than 10 Million,je hili jambo hawakuliona?kweli namuomba huyu mama arudi tena shule mana elimu haina mwisho
 
Prof yupo sahihi, ni vizuri watu warudi kujikumbusha statistics. Ile tume ilihoji watu takriban 350,000 kwa maana ndiyo sample inayowakilisha watanzania. Hivyo 17,000 walioongelea muungano ni asilimia 5 tu ya sample na ndiyo asilimia ya watanzania. Ukija kwa bunge la katiba wapo 600 ndiyo sample ya wawakilishi wa watanzania hivyo asilimia itatokea hapo (idadi ya wajumbe / jumla ya wajumbe)

kama hujawahi kuhudhulia kwenye tume usipotoshe hapa, kulikuwa hamna kula na kama hoja zinafanana huchangii, hiyo ilipunguza sample, say kama A kaongelea muungano wa serikali tatu na B anataka kongelea muungano, alikuwa aaulizwa kama ana hoja tofauti na A, hapo obvioisly laazima sample iwe ndogo!! Muwe kisayansi si kujiongelea tuu!!
 
Kikwete aliyesema 17,000 waliotoa maoni ni wachache alikuwa sahihi? Kafulila kahoji kama watu 17,000 ni wachache wao wabunge 600 wana uhalali gani? Ukiwa CCM hata uwe Profesa lazima ufikiri kwa kutumia Ma------ aise...of all people Anna Tibaijuka?

Maswala ya sample na takwimu ni mawili tu. La kwanza, wahojiwa walijichagua, walikuja wenyewe. Maana yake wanaweza kujihamasisha kuwa na msimamo mmoja. Hiyo haikubaliki katika utafiti wa maoni. La pili, swala si watu 17000 kuwa wengi au wachache, ila hao ni asilimia ngapi ya waliotoa maoni. Ndiyo maana wanaoyajua haya wamekuwa wanasema kuwa wazo la serikali tatu lijikite kwenye utetezi mwingine tu, siyo wa takwimu kwa sababu hazitoshi kuwa authoritative kwa wazo la serikali tatu. Mwenyekiti Warioba alilikataa hili mwanzo kabla hajaelewa. Sasa ameelewa na kukiri hivyo katika interview gazeti la wiki hii la Raia Mema.
 
Last edited by a moderator:
kama hujawahi kuhudhulia kwenye tume usipotoshe hapa, kulikuwa hamna kula na kama hoja zinafanana huchangii, hiyo ilipunguza sample, say kama A kaongelea muungano wa serikali tatu na B anataka kongelea muungano, alikuwa aaulizwa kama ana hoja tofauti na A, hapo obvioisly laazima sample iwe ndogo!! Muwe kisayansi si kujiongelea tuu!!

Pole na samahani. Sample haiwi selected hivyo kwenye maoni. Hiyo ilikuwa haphazard sampling, kisha ikawa purposive, yenye errors lukuki kama unataka maoni- wakilishi. Serikali tatu zinajadilika vizuri tu bila makosa basic haya ya sample na takwimu
 
Na hayo mambo mengine waliyokubali kwenye rasimu mbona hawasemi sampling?

nimecheka sana ndiyo maana kuna viongozi wengi hawataki kujiunga jf au kuleta hoja zao humu maana humu mtu hamezeshi tu..hii thread ilipaswa kukomea post ya tatu au ya pili kwa majibu swali mliyouliza...
 
wadau nilikuwa naangalia habari,Prof. A Tibaijuka amesema Mh. Kafulila hakuwa sahihi alipokuwa anazungumzia kuhusu "samples" alisema,alichokisema kafulila siyo "stratified sampling" wala "non-stratified sampling" maana Tume ilikuwa inawahoji watu wa aina yoyote waliojitokeza mbele yao hivyo haikuwa inapanga iwafikie watu wa aina gani.
(haya mambo ya sampuli hayo,wataalamu mnasemaje?)[/QUO
imeniaikitisha sana kuona mama naye anakuwa wale wale,kwa maoni yangu ukiwa mtu ambaye jamii inakuheshimu
ni vema kukaa kimya kulik kufungua kinywa kwa kauli moja tu then jamii nzima inakuona huna maana ni kama kiazi kikuu,
 
Maswala ya sample na takwimu ni mawili tu. La kwanza, wahojiwa walijichagua, walikuja wenyewe. Maana yake wanaweza kujihamasisha kuwa na msimamo mmoja. Hiyo haikubaliki katika utafiti wa maoni. La pili, swala si watu 17000 kuwa wengi au wachache, ila hao ni asilimia ngapi ya waliotoa maoni. Ndiyo maana wanaoyajua haya wamekuwa wanasema kuwa wazo la serikali tatu lijikite kwenye utetezi mwingine tu, siyo wa takwimu kwa sababu hazitoshi kuwa authoritative kwa wazo la serikali tatu. Mwenyekiti Warioba alilikataa hili mwanzo kabla hajaelewa. Sasa ameelewa na kukiri hivyo katika interview gazeti la wiki hii la Raia Mema.
...Kwa hiyo ina maana iundwe tume nyingine? maana kuna mengine sample size ilikuwa worse than hili la serikali tatu.
 
wadau nilikuwa naangalia habari,Prof. A Tibaijuka amesema Mh. Kafulila hakuwa sahihi alipokuwa anazungumzia kuhusu "samples" alisema,alichokisema kafulila siyo "stratified sampling" wala "non-stratified sampling" maana Tume ilikuwa inawahoji watu wa aina yoyote waliojitokeza mbele yao hivyo haikuwa inapanga iwafikie watu wa aina gani.
(haya mambo ya sampuli hayo,wataalamu mnasemaje?)

Mfikishieni taarifa huyo mama, ya kua huko Muleba kwa sasa kuna baadhi ya wahaya wanalala nje kama senene, kutokana na madhara ya mvua....!
Bora akimbize hata mahema, hayo mambo ya stratified sampling hawachie wengine.
 
A.Tibaijuka ana kosoa kauli ya wao 600 kulinganisha na tume ilivyofanya. wao wameteuliwa kwa maana imetumika stratified sampling( kwa maana uteuzi wao ulicheck sifa fulani). lakini tume haikufanya stratified sampling.hivyo hoja ya A.tibaijuka iko sahihi kwenye ukosoaji wa hiyo scenario
kwa hiyo hata wale 400 waliozungumzia mfumo dume,hawako sahihi lkn ukweli wanawake wanapenda mfumo dume si ndo unachomaanisha mkuu!?
 
Tuelimisheni wakuu mambo ya stratified sampling ili Kafulila naye akiingia humu apate shule!

kama sample iliyopelekwa bungeni ni irrelevant kwa nini serikali ilitumia pesa nyingi na muda kukusanya na kuileta hiyo sample? Mkuu hapo huoni ni uzembe wa serikali ambayo inamjumuisha na Tibaijuka mwenyewe?

hao wasomi wakishazidiwa huwa wanakuja na terminologies za kuchanganya watu na kwa watanzania kuuliza ni ujinga, ukishampiga na msamiati ambao hauelewi huwa anakaa kimya habishani tena, wakati ukiangalia ukweli kuhusu huo msamiati utaona ni upumbavu mtupu hakuna mashiko yoyote.
 
Kikwete aliyesema 17,000 waliotoa maoni ni wachache alikuwa sahihi? Kafulila kahoji kama watu 17,000 ni wachache wao wabunge 600 wana uhalali gani? Ukiwa CCM hata uwe Profesa lazima ufikiri kwa kutumia Ma------ aise...of all people Anna Tibaijuka?

17,000 walikuwa ni watu wa kawaida huwezi kuwalinganisha kwa namna yoyote na wabunge 600 wawakilishi. Impact ya wabunge 600 ni kubwa kuliko watu laki 3 kwa pamoja waliotoa maoni. Watu waache kufikiri kinyumenyume.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom