Malingumu
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 616
- 433
wadau nilikuwa naangalia habari,Prof. A Tibaijuka amesema Mh. Kafulila hakuwa sahihi alipokuwa anazungumzia kuhusu "samples" alisema,alichokisema kafulila siyo "stratified sampling" wala "non-stratified sampling" maana Tume ilikuwa inawahoji watu wa aina yoyote waliojitokeza mbele yao hivyo haikuwa inapanga iwafikie watu wa aina gani.
Haya mambo ya sampuli hayo,wataalamu mnasemaje?
Haya mambo ya sampuli hayo,wataalamu mnasemaje?