Mimi pia nilimsikia huyu Anna Kajumulo akijisifu kuwa yeye ni msomi na hivyo anaona Kafulila hakuwa mkweli alipozungumzia mambo ya sampling!!! Yeye huyu mama amesomea mambo ya Agricultural economics na sampling Theory ni sehemu ndogo tu aliyofundishwa ukimlinganisha na watu waliosomea STATISTICS. Amesahau kuwa katika kufanya utafiti the important thing unachotakiwa kuzingatia ni kuwa sample yako iwe Representative; hayo mambo ya stratified na non-stratified sampling anawachanganya magamba wenzie ambao ni mbumbumbu kwani hayo yote yanakuwa yameangaliwa kama sample yako ni REPRESENTATIVE ambayo ndio aina ya sample iliyotumiwa na tume ya Warioba. Hawa mburula wa Magamba hata kama wana shahada wakiingia siasa akili zao zinadata shauri ya njaa hata kama wamefanya kazi United Nations!!
Tumuulize huyu Prof Anna Tibaijuka kufanya kwake UN na uprof wake amevitumia vipi kupunguza umasikini na ujinga ktk jimbo lake la Muleba Kusini na taifa kwa ujumla. Power ya mtu hailetwi na kuwa prof au ubunge bali hutoka ndani yako. Wananchi wengi wa Jimbo la Muleba Kusini wanajuta kumchagua mama huyu.