Printer ya matumizi madogo

Joel360

JF-Expert Member
Sep 21, 2013
981
631
Habari zenu wakuu.

Kwakweli kwa nafasi niliopata kazini inanilazimu niwe na printer ili nifanyie baadhi ya kazi nyumbani.

Sasa mie hizi mashine sizijui fresh, nikaona nikiingia kichwa kichwa kariakoo ntauziwa printer la stationery au printer la kitajiri lenye gharama kulitumia.

Naomba msaada ni printer ipi ndogo ndogo itanifaa na kuitumia kwake sio gharama, namaanisha iwe na gharama nafuu ya wino yaani wenu uwe unajazika mitaani na iwe inatumia chupa mbili tu za wino. Ya rangi na nyeusi.

Bajeti yangu ni 80,000 - 100, 000

Natangulisha shukrani wakuu.
 
Habari zenu wakuu.

Kwakweli kwa nafasi niliopata kazini inanilazimu niwe na printer ili nifanyie baadhi ya kazi nyumbani.

Sasa mie hizi mashine sizijui fresh, nikaona nikiingia kichwa kichwa kariakoo ntauziwa printer la stationery au printer la kitajiri lenye gharama kulitumia.

Naomba msaada ni printer ipi ndogo ndogo itanifaa na kuitumia kwake sio gharama, namaanisha iwe na gharama nafuu ya wino yaani wenu uwe unajazika mitaani na iwe inatumia chupa mbili tu za wino. Ya rangi na nyeusi.

Bajeti yangu ni 80,000 - 100, 000

Natangulisha shukrani wakuu.


MKUU,

NATURE YA PRINTER IKO HIVI,

"THE LOWER THE PRICE,
THE HIGHEER THE RUNNING COST
&
THE HIGHER THE PRICE,
THE LOWER THE RUNNING COST".

YAANI
KADRI BEI YA PRINTER INAVYOKUWA YA CHINI NDIPO GHARAMA YA WINO INAKUWA JUU,
NA PRINTER INAVYOKUWA UA BEI YA JUU NDIPO GHARAMA YA WINO INAPUNGUA.

KWA MFANO,

UNAWEZA KUPATA PRINTER MPYA YA "HP ALL IN ONE" KWA SH. 150,000/= TU,
ILA GHARAMA YA WINO UNAPOISHA,
UNATAKIWA UTUMIE LAKI 1 KUNUNUA CARTRIDGES ZA BLACK & COLORED,
NA ZINAISHA FASTA.

WHILE UKINUNUA PRINTER MPYA YA "EPSON ALL IN ONE" KWA 450,000/=,
WINO WAKE UNAPATIKANA HADI KWA SH. ELFU NNE (4,000/=).

MIMI NINAZO HIZO ZOTE MBILI,
ILA KUTOKANA NA SHUGHULI ZANGU ZA SASA NIMESTOP KUZITUMIA,
UKIHITAJI NICHECK.
 
Tafuta printer zinazoitwa Desktjet zilizopo nyingi ni
Za HP Deskjet 2130 au 2135 kama sijakosea bei ni kati ya 100,000-135,000 wino wake ni 40,000 mpaka 50,000 usijenunua zinazoitwa LaserJet au Deskjet hizo matumizi yake kwenye wino ni makubwa
 
Tafuta printer zinazoitwa Desktjet zilizopo nyingi ni
Za HP Deskjet 2130 au 2135 kama sijakosea bei ni kati ya 100,000-135,000 wino wake ni 40,000 mpaka 50,000 usijenunua zinazoitwa LaserJet au Deskjet hizo matumizi yake kwenye wino ni makubwa
Asante kwa ushauri mkuu.

Na vipi siwezi pata printer ambayo wino wake ni pungufu ya 30 000
 
Asante kwa ushauri mkuu.

Na vipi siwezi pata printer ambayo wino wake ni pungufu ya 30 000
Hapo juu nimekosea usijenunua printer ya LaserJet au Inkjet mkuu huo wino wa 40,000 au 50,000 unaweza print hata karatasi 400 au hata rim nahisi unaweza kuwepo wino wa 30,000 ila utakua unaangukia kwenye hizo printer za Inkjet au Laserjet
 
Hapo juu nimekosea usijenunua printer ya LaserJet au Inkjet mkuu huo wino wa 40,000 au 50,000 unaweza print hata karatasi 400 au hata rim nahisi unaweza kuwepo wino wa 30,000 ila utakua unaangukia kwenye hizo printer za Inkjet au Laserjet

MKUU,

HAPA ND'O UNAZIDI KUMPOTEZA MTOA MADA.

PRINTERS ZIPO ZA AINA KUU MBILI TU ;
1. INKJET (YA WINO WA MAJI)
2. LASERJET (YA WINO WA UNGA/POWDER).

HIYO DESKJET UNAYOISEMA KAMA VILE "HP 2130/2135" NI AINA YA INKJET_PRINTER PIA, KWANI ZILE CARTRIDGES ZAKE ZINA WINO WA MAJI NDANI YAKE.

INAITWA DESKJET KWA SABABU TU YA UMBO LAKE KUWA DOGO (THAT YOU CAN PLACE IT EVEN ON A DESK).

HIVYO PRINTER YOYOTE ATAYONUNUA NI LAZIMA IWE AMA INKJET AU LASERJET.

KUTOKEA HAPO ND'O AANGALIE VIGEZO VINGINE.
 
Tafuta HP deskjet 1102 wino wake unafil tu bila shida, ukinunua hii nitakuunganisha na wanaofill at lower cost, Tshs 18000/-
 

MKUU,

HAPA ND'O UNAZIDI KUMPOTEZA MTOA MADA.

PRINTERS ZIPO ZA AINA KUU MBILI TU ;
1. INKJET (YA WINO WA MAJI)
2. LASERJET (YA WINO WA UNGA/POWDER).

HIYO DESKJET UNAYOISEMA KAMA VILE "HP 2130/2135" NI AINA YA INKJET_PRINTER PIA, KWANI ZILE CARTRIDGES ZAKE ZINA WINO WA MAJI NDANI YAKE.

INAITWA DESKJET KWA SABABU TU YA UMBO LAKE KUWA DOGO (THAT YOU CAN PLACE IT EVEN ON A DESK).

HIVYO PRINTER YOYOTE ATAYONUNUA NI LAZIMA IWE AMA INKJET AU LASERJET.

KUTOKEA HAPO ND'O AANGALIE VIGEZO VINGINE.
Daah aisee huwezi amini miaka yote nilijuua kuna za aina 3 mkuu
 
Tafuta printer zinazoitwa Desktjet zilizopo nyingi ni
Za HP Deskjet 2130 au 2135 kama sijakosea bei ni kati ya 100,000-135,000 wino wake ni 40,000 mpaka 50,000 usijenunua zinazoitwa LaserJet au Deskjet hizo matumizi yake kwenye wino ni makubwa
huzijui printer kabisa wewe
 
Zielezee tuzijue
hizo deskjet ni uendeshaj wake gharama sana ina catrige 2 moja tu tsh 40 elfu..na wino wake ni kimiminika ukitumia kwa kuubania una ganda una kua haufai kabisa......mwisho wa siku 85% ya walonunua hiz deskjet huishia kutumia kama scanner...

Laserjet hizi zinatumia wino wa powder catrige ina ujazo mzuri ila nyingi ni black and white hii hata wino ukae miaka mitatu hau xpai..na
kwa matumizi ya kawaida au stationery inafaa sana

kuna matoleo mapya haya ya catrige za nje ambazo ni epson na makampuni mengine kama hp na canon wameleta..hizi ni very cheep printer wino kikombe kizima cha mls 200 wino unapata kwa tsh elfu 4 tu na ina rangi nne au sita...kwa mazingira ya nchi yetu tafuta epson spea zipo nyingi na mafundi tupo wengi..
NIMEELEZA KIFUPI
 
"THE LOWER THE PRICE,
THE HIGHEER THE RUNNING COST
&
THE HIGHER THE PRICE,
THE LOWER THE RUNNING COST".

YAANI
KADRI BEI YA PRINTER INAVYOKUWA YA CHINI NDIPO GHARAMA YA WINO INAKUWA JUU,
NA PRINTER INAVYOKUWA UA BEI YA JUU NDIPO GHARAMA YA WINO INAPUNGUA.

KWA MFANO,

UNAWEZA KUPATA PRINTER MPYA YA "HP ALL IN ONE" KWA SH. 150,000/= TU,
ILA GHARAMA YA WINO UNAPOISHA,
UNATAKIWA UTUMIE LAKI 1 KUNUNUA CARTRIDGES ZA BLACK & COLORED,
NA ZINAISHA FASTA.

WHILE UKINUNUA PRINTER MPYA YA "EPSON ALL IN ONE" KWA 450,000/=,
WINO WAKE UNAPATIKANA HADI KWA SH. ELFU NNE (4,000/=).


MIMI NINAZO HIZO ZOTE MBILI,
ILA KUTOKANA NA SHUGHULI ZANGU ZA SASA NIMESTOP KUZITUMIA,
UKIHITAJI NICHECK.

Huu ndio ukweli, kama ameelewa mleta mada, achukue hatua.

Labda kwenye pendekezo la printer

1. Kwa bajeti ya TZS350 hadi 450,000 hapo atapata EPSON L300 - ( Hii kujaza wino ni mara moja kwa mwaka - kwa matumizi ya kawaida)

2. Kwa bajeti ya TZS 550,000 hadi 800,000 - Hapo achukue L800

Hakika hatojutia.
 
Kama unataka printer tu bila photocopy na uwezo wa kuscan unapata hata kwa chini ya hio budget, last time niliziona kwa 60,000. Mfano huu
31IvMgRMJML._AC_SY350_FMwebp_.jpg


Ukitaka yenye copy/print/scan (3in1) zipo around 100,000 mpaka 120,000 hivi

Kuhusu wino mkuu cha kuangalia sio bei, unaweza ukauziwa wino wa 10,000 ukatoa page 20 na wa 30,000 ukatoa page 500 hivyo ukawa wa 10,000 ni ghali zaidi. Cha muhimu ufanye tu utafiti.

Ila zote hapo juuu ninavyofahamu ni economy hazili sana wino unless unaprint picha na vitu vinavyokula sana wino.
 
hizo deskjet ni uendeshaj wake gharama sana ina catrige 2 moja tu tsh 40 elfu..na wino wake ni kimiminika ukitumia kwa kuubania una ganda una kua haufai kabisa......mwisho wa siku 85% ya walonunua hiz deskjet huishia kutumia kama scanner...

Laserjet hizi zinatumia wino wa powder catrige ina ujazo mzuri ila nyingi ni black and white hii hata wino ukae miaka mitatu hau xpai..na
kwa matumizi ya kawaida au stationery inafaa sana

kuna matoleo mapya haya ya catrige za nje ambazo ni epson na makampuni mengine kama hp na canon wameleta..hizi ni very cheep printer wino kikombe kizima cha mls 200 wino unapata kwa tsh elfu 4 tu na ina rangi nne au sita...kwa mazingira ya nchi yetu tafuta epson spea zipo nyingi na mafundi tupo wengi..
NIMEELEZA KIFUPI
Mkuu nimependa maelezo yako...nahitaji moja ambayo naweza nikaprinti hata ream mbili bila kuisha!ni ipi?
 
Huu ndio ukweli, kama ameelewa mleta mada, achukue hatua.

Labda kwenye pendekezo la printer

1. Kwa bajeti ya TZS350 hadi 450,000 hapo atapata EPSON L300 - ( Hii kujaza wino ni mara moja kwa mwaka - kwa matumizi ya kawaida)

2. Kwa bajeti ya TZS 550,000 hadi 800,000 - Hapo achukue L800

Hakika hatojutia.
hakuna ndogo zaidi?
 
Huu ndio ukweli, kama ameelewa mleta mada, achukue hatua.

Labda kwenye pendekezo la printer

1. Kwa bajeti ya TZS350 hadi 450,000 hapo atapata EPSON L300 - ( Hii kujaza wino ni mara moja kwa mwaka - kwa matumizi ya kawaida)

2. Kwa bajeti ya TZS 550,000 hadi 800,000 - Hapo achukue L800

Hakika hatojutia.
printer za epson, kujaza wino ni approximately bei gani kwa mwaka kama matumizi yangu madogo madogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom