- Thread starter
- #21
Kama unataka printer tu bila photocopy na uwezo wa kuscan unapata hata kwa chini ya hio budget, last time niliziona kwa 60,000. Mfano huu
![]()
Ukitaka yenye copy/print/scan (3in1) zipo around 100,000 mpaka 120,000 hivi
Kuhusu wino mkuu cha kuangalia sio bei, unaweza ukauziwa wino wa 10,000 ukatoa page 20 na wa 30,000 ukatoa page 500 hivyo ukawa wa 10,000 ni ghali zaidi. Cha muhimu ufanye tu utafiti.
Ila zote hapo juuu ninavyofahamu ni economy hazili sana wino unless unaprint picha na vitu vinavyokula sana wino.
Asante sana mkuu.
Sasa kwa uzoefu wako naomba ni-suggestie printer ndogo ya kununua ambayo itakuwa economic kuitumia.