Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,607
- 3,187
Mkuu, usitumie nguvu kubwa kwa haya majitu, ni maccm yanakuja kwa style ya upinzani.
huyo Limbu kutwa kuanzisha vyama, kila chama kikiwa na mgogoro huyo mzee wa TISS anajitokeza kuanzisha.
unakumbuka alivyomtafuta Rashid wa CUF? na sasa kamnasa Zitto.
Cha kujiuliza je ADC ameifikisha wapi? na ACT ataifikisha wapi?
ndio style ya kula kwa bwana Limbu kama humfahamu...
![]()
tTazama bendera hapo, utamjua tu.. MM kashachemka hata kabla hajaanza kazi...
MICHUZI BLOG: Katibu Mkuu wa ADC katika ziara mkoani Mwanza
Mkuu asante kwa kunitoa wasiwasi. Kumbe tayari wana uniform na bendera zao? Nani anagharimia hivi vitu? Inawezekana kabisa kuwa chama tawala kiko nyuma ya hii kitu. Soon tutamsikia ZZK anatangaza kujiunga huko.
Tiba