Press conference ya ACT-Tanzania

Press conference ya ACT-Tanzania

Huwa sishabikii siasa lkn hapa ninalo neno, HATA KAMA SIIJUI SAYANSI YA SIASA ikiwa chama cha siasa hakisemi wazi kinataka kushika Dola hicho ni
chama au NGO?

ni saccos ya mtei na mbowe
 
Najiuliza bila majibu nini malengo ya hiki chama kama ni chama cha upinzani kwanini kisishushe bendera ya CCM badala yake kinashusha bendera ya Chadema
 
chadema inayoongozwa na padri wa kikatoliki alieasi kanisa

wewe kijana uwezo wako ni mdogo sana , huna uwezo wa kujenga hoja kabisa ! Kumbe Kama aliasi umewezaje kumhusisha na ukatoliki ? Ni wapi ulisikia kadi ya cdm inabadilishwa kwa rozari ? Ya ujiji hukuyasikia wewe ? unamfahamu SALUM MWIGAMBA ? shame on you !
 
mbona chadema mnaumia sana kuanzishwa kwa ACT TANZANIA? TULIA DAWA IWAINGIE VIZURI MLIYATAKA WENYEWE,, nakumbaka hata SLAA MSALITI bado ana kadi ya CCM chama kikifa atarudi ccm,
 
wewe kijana uwezo wako ni mdogo sana , huna uwezo wa kujenga hoja kabisa ! Kumbe Kama aliasi umewezaje kumhusisha na ukatoliki ? Ni wapi ulisikia kadi ya cdm inabadilishwa kwa rozari ? Ya ujiji hukuyasikia wewe ? unamfahamu SALUM MWIGAMBA ? shame on you !

chadema ni chama cha kidini, kikanda na kikabila
 
CCJ ilianza hivi hivi kwa mbwembwe tena tukajua ndio mkombozi wa wanyonge, leo hii viongozi wote wa CCJ wako CCM. Ndio maana mpaka sasa sijaweza kuona chama makini cha upinzani Tanzania. Wote ni waganga njaa tu. Lakini kwa hawa ACT naona kama wako kimaslahi binafsi zaidi. Nawaonea huruma Watanzania wenzangu tunaodanganyika kirahisi na hivi vyama..
 
CCJ ilianza hivi hivi kwa mbwembwe tena tukajua ndio mkombozi wa wanyonge, leo hii viongozi wote wa CCJ wako CCM. Ndio maana mpaka sasa sijaweza kuona chama makini cha upinzani Tanzania. Wote ni waganga njaa tu. Lakini kwa hawa ACT naona kama wako kimaslahi binafsi zaidi. Nawaonea huruma Watanzania wenzangu tunaodanganyika kirahisi na hivi vyama..

chadema imeshakufa kama CCJ
 
mbona chadema mnaumia sana kuanzishwa kwa ACT TANZANIA? TULIA DAWA IWAINGIE VIZURI MLIYATAKA WENYEWE,, nakumbaka hata SLAA MSALITI bado ana kadi ya CCM chama kikifa atarudi ccm,

wala hakuna anayeumia mjomba , kinachofanyika hapa ni ufafanuzi tu KWAMBA ACT NI CHAMA KILICHOANZISHWA NA WASALITI , MAMLUKI , WACHUMIA TUMBO , WAZANDIKI NA MASALIA WALIOTIMULIWA NA CDM , NA KWA VILE UKITIMULIWA NA CHAMA CHA MUNGU BASI BILA KUPEPESA MACHO NI KAMA UMETIMULIWA KILA MAHALI ( UMETIMULIWA KAMA SHETANI , HATAKIWI POPOTE ! )
 
wala hakuna anayeumia mjomba , kinachofanyika hapa ni ufafanuzi tu KWAMBA ACT NI CHAMA KILICHOANZISHWA NA WASALITI , MAMLUKI , WACHUMIA TUMBO , WAZANDIKI NA MASALIA WALIOTIMULIWA NA CDM , NA KWA VILE UKITIMULIWA NA CHAMA CHA MUNGU BASI BILA KUPEPESA MACHO NI KAMA UMETIMULIWA KILA MAHALI ( UMETIMULIWA KAMA SHETANI , HATAKIWI POPOTE ! )

nyie endeleeni kuimba usaliti wakati act inasonga mbele.
 
Back
Top Bottom