Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
ACT ni chama cha futari, usipokuwa mpiga dufu hutakiweza
Kwi kwi kwi
ACT ni chama cha futari, usipokuwa mpiga dufu hutakiweza
na chadema kinachoongozwa na padri ni cha dini gani?
Padri aliyeasisi CCBRT ambapo hadi mama yako atatibiwa FISTULA, Padri aliyepeleka neema Karatu, Padri aliyeingiza wabunge wengi Bungeni, Padre anayetumia 80% ya muda wake kuiongoza kwa mafanikio CHADEMA ana maana sana kuliko Mashehe wanafiki wa UJIJI waliotuletea ACT kutugawa kidini.
Limbu mroho wa madaraka anamiliki vyama viwili ADC na ACT.
Karibu ACT. Lakini kumbuka imekichukua chama cha CHADEMA miaka ishirini kujijenga na kufikia hapa kilipo kwa sasa. Msitarajie mteremko, kazi ni ngumu. Na je nini tofauti yenu na vyama vingine vya upinzani ambavyo vipo tayari ulingoni? Ni kwa nini hamkuona umuhimu wa kuunganisha nguvu zenu na vyama vilivyo na wabunge tayari ili kumpinga mkoloni CCM? Hamuoni kwa kuanzisha chama kingine mnagawa kura za wapinzani na hivyo kuipa kura ya turufu CCM?
Tiba
Teh teh teh!
Nakusoma mkuu THE BIG SHOW
Hawa wana wa kufikia wengi wao wamelaaniwa!
Bila fimbo na makofi ya mgongo hawaendi!
We chapa tu!
Mi.wa kwangu Matola huwa natumia rungu kupiga kichwa! Manake makofi na fimbo kazizoea!
nimeipenda hii "kila mwanachama anatakiwa atambue kila kazi ya chama inatakiwa kuwa shirikishi na ya uwazi", najiuliza hivi hawa kwanini hawakufanya usaliti wao kwa uwazi na shirikishi?
Kimeanza na nyota baadae wataweka mwezi ili kutimiza azma yao.Chama Chenye alama ya Nyota,kilizinduliwa MSIKITINI kwanza ndo kikaletwa uraiani
Naona mmekutana wote wanafiki wakubwa! nimeshaanza kujua kwa nini mlikuwa mnamsakama sana Mtoi na matokeo yake akawabana mkashindwa kuleta ushadi kumbe mlikuwa mnataka muwe nae ACT allince for Cowards and Traitors.
ZZK amekupa sh. ngapi? Hii dili ya ZZK kuhakikisha anakuwa mwenyekiti wa chama chochote kabla hajastaafu siasa. Maana unakuwa mbishi kama mkojo wa asubuhi.Mkuu tiba huwezi kuchanganya mafuta na maji,chadema ni saccos,ACT ni chama cha siasa.
Chama Chenye alama ya Nyota,kilizinduliwa MSIKITINI kwanza ndo kikaletwa uraiani
Utaendelea kupata tetesi kila siku ndio maana unaamini CCJ na CCK ni vya 6 lakini mpaka leo anadunda CCM.Kuna tetesui kuwa ACT ni mbadala wa ccj na kwamba lowasa anahofia kutolewa ccm ndo maana ameanzisha chama hiki huku akisikilizia uelekeo wa ccm,halafu nasikia na zito kabwe yupo ndani ya hiki chama pamoja na viongozi mbalimbali hata waliopo chadema mpaka sasa,.Yetu masikio na macho ngoja tuone hali itakuwaje