Press conference ya ACT-Tanzania

Press conference ya ACT-Tanzania

Kumbe kuunda chama cha siasa dili, ngoja na mimi nianzishe cha kwangu then nivute ruzuku kiulaini.Jina tu sasa.....
 
huku ni kuhamisha tu attention ya masuala ya msingi yanayoendelea nchini kama vile katiba n.k.
 
kwa hiyo kigoma sio tanzania? nyie wachaga wa chadema ni wabaguzi sana
Ni nchi lakini ni mwisho wa Reli.............kama Wachaga ni wabaguzi na Waha ni wabishi sana ndio maana wanaishia kuwa wasaliti
 
ccm, cdm, cuf, udp, nccr-mageuzi, dp, tlp, ppt maendeleo, jahazi asilia..............................................vya kati kati hapo nimevisahau......now act Tanzania........naamini nacho ntakisahau.
 
Malengo ya chama cha upinzani yanatakiwa kuwa ni kupambana na chama kilichopo madarakani.

Huwezi kuanzisha chama cha upinzani ili kupambana na chama kingine cha upinzani halafu ukapata uungwaji mkono na umma.
ADC kilianzishwa kwa ajili ya kudumaza CUF lakini matokeo yake ADC haipigi hatua yeyote ile, kama CUF inadumaa basi ni kwa makosa ya CUF yenyewe.


Hiki ATC hakiwezi hata kufikia kiwango cha ADC kwa sababu kinashambulia chama kikuu cha upinzani waziwazi, tofauti na ADC walikuwa wanafanya strategies kwa usiri.

Kumbe ndiyo maana hawa Lumumba bk 7 wanakishadadia!!!!...nilikuwa nashangaa kulikoni???...
 
Back
Top Bottom