Press conference ya ACT-Tanzania

Press conference ya ACT-Tanzania

Ni nchi lakini ni mwisho wa Reli.............kama Wachaga ni wabaguzi na Waha ni wabishi sana ndio maana wanaishia kuwa wasaliti

kigoma ni tanzania na wanaishi watanzania. nyie wachaga acheni ubaguzi
 
[h=3]WENYE CHAMA CHA ACT WAJITOKEZA DAR, WAKANUSHA ZITTO KABWE KUHUSIKA NA CHAMA HICHO ..[/h]
Na Karoli Vinsent


[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="align: center"]
PIC+2.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: center"]MWIGAMBA AKIFAFANUA JAMBO, PICHA NA MAKTABA[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


KILE kinachotafsiliwa kuwa Demokrasia nchini imeanza
kukuwa kutokana na wingi wa vyama vya kisiasa nchini vinaanzishwa,hivi leo chama kipya cha kisiasa nchini kimeanzishwa chama hicho kinajulika kama ACT,(Alliance for change And Transparency)maana yake ni Umoja wa
Mabadiliko na Uwazi.
Hayo,yamethibitishwa leo Jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Chama hicho kipya,Limbu Lucas Kadawi Wakati akitambulisha Chama hicho kwenye Mkutano na Waandishi wa Habari,ambapo alisema wamefikia maamuzi ya kuanzishwa chama hicho kutokana na Malengo mahususi ya kuwaleta watu pamoja.

"Tumeanzishwa chama hichi cha kisiasa kwa malengo mahususi
ya kuwaleta watu pamoja watanzania wanaoamini kwamba nguvu ya Pamoja inaitajika katika kuleta mabadiliko ya kweli ya kisiasa katika nchi hii, na kwamba uwazi na uadilifu ni tunu ambazo taifa hili linaitajika kwa sasa na Baadaye"alisema Limbu
Limbu alisema chama hicho cha ACT kinatakuwa kinaongozwa na misingi mikuu mitano ambayo ndio itakuwa nembo ya chama hicho.

"ACT tutakuwa na inaongozwa na misingi mikuu mitano ambayo ni
Uzalendo,Usawa,Uadilifu Uwazi na uwajibikaji pamoja na Demokrasia ya Kweli"Alizidi kuongezea Limbu.
Limbu ikumbukwe Mwaka 2010 alikuwa Mwanachama wa cha Wananchi CUF na aligombania Ubunge kupitia Chama hicho kwenye Jimbo la Temeke na Alibwagwa kwenye uchaguzi huo na Mbunge wa CCM kupitia Temeke, Mr Mtevu na Baada ya Hapo na kwenda kuanzishwa chama cha ADC kabla ya kuanzishwa chama hichi.Aliwataka wananchi wakiamini chama hicho kuwa ni Chama
kitakachowaletea maendeleo .

Kwa upande wake Katibu mkuu Taifa wa Chama hicho Samsoni
Mwigamba alisema Chama hicho kwa sasa kimeanda mipango mikubwa yakuhakikishwa kinashinda kwenye Chaguzi Mbalimbali Zinazokuja.

"Kwa sasa ACT Tanzania imekwisha Kukamilisha Rasimu ya awali ya Katiba ambaye iliwezesha kupata usajili wa Muda na Zoezi la kuandikishwa wananchama katika mikoa kwa ajali ya kuomba usajili wa kudumu kwa mujibu wa sheria limekwisha kamilika" "Tumewapata Wanachama katika mikoa yote ya Tanzania Bara,hata ivyo tumechagua mikoa kumi ambayo tungependa Msajili akahakiki kama sheria inavyotaka"alisema Mwigamaba.

Ikumbukwe Samsoni Mwigamba kabla ya kujiunga na chama hichi cha ACT alikuwa mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Mkoani Arusha na pia alikuwa mhasibu Mkuu wa Chama hicho na Baada ya hapo Chama chake cha Chadema kilimvua uwanachama kwa kile chama hicho kinadai kuwa Mwigamba alikuwa anafanya Uasi katika chama hicho, ambapo Kamati kuu ilimvua uwanachama pamoja na Wananchama wengine akiwemo Ziito Kabwe pamoja na Dk Kitara Mkumbo.


Wachambuzi wa Masuala ya Kisiasa waliozungumza na Mwandishi wa Mtandao huu walisema chama hicho kipya cha kisiasa nchini uwenda kikawa kimeanzishwa kwa mahususi ya kuwachukua wanachama waliokuwa wamevuliwa uwanachama kwenye vyama tofauti vya kisiasa nchini,huku wachambuzi hao wakihoji kwanini chama hicho cha kisiasa kimeanzishwa sasa,wakati vyama vya kisiasa nchini vikiwa katika hali ya sitofamu.

Ambapo Kauli hiyo ilipingwa vikali na Mwenyekiti wa Chama hicho cha ACT alisema chama hicho wala hakina uhusiano wowote na Mtu wala mikoa bali chama hicho kinawahusishwa watanzania wote.
 
Karibu ACT. Lakini kumbuka imekichukua chama cha CHADEMA miaka ishirini kujijenga na kufikia hapa kilipo kwa sasa. Msitarajie mteremko, kazi ni ngumu. Na je nini tofauti yenu na vyama vingine vya upinzani ambavyo vipo tayari ulingoni? Ni kwa nini hamkuona umuhimu wa kuunganisha nguvu zenu na vyama vilivyo na wabunge tayari ili kumpinga mkoloni CCM? Hamuoni kwa kuanzisha chama kingine mnagawa kura za wapinzani na hivyo kuipa kura ya turufu CCM?

Tiba
 
Mkuu unamsubiri nani sasa.

We siunajitaba upo bungeni? vipi hali ya Simu na ipad za wajumbe,
mmepiga dili ndapi na Makonda.. hii ya maACT yaache yaendelee kuact tu...

Mwenyekiti wao mwenyewe msanii wa Lumumba
 
Kumbe ndiyo maana hawa Lumumba bk 7 wanakishadadia!!!!...nilikuwa nashangaa kulikoni???...
Ndivyo ilivyo mkuu, Lakini wamekosea.

Walitakiwa kufanya hivyo kimkakati mahususi, sio kama walivyofanya jana mwenyekiti wao 'bandia' ndugu Kadawi Limbu anashambulia CDM waziwazi, Hawa walioanzisha hiki chama walitakiwa kujua kuwa mwananchi anayeunga mkono upinzani maana yake hakipendi au amechoshwa na chama kilichoko madarakani,

Hicho ni lazima ujitofautishe nacho kwa vitu vingi ambavyo ni vya msingi, kama CCM inashambulia CDM na wao ATC wanashambulia CDM,
Mwananchi ataona kuwa kuwaunga mkono ni sawa na kuunga mkono CCM na kwa yule mwelevu atang'amua kuwa mmefadhiliwa na CCM hivyo mpo kwa maslahi ya CCM, kwani wahenga walisema fumbo mfumbie mjinga..
 
Karibu ACT. Lakini kumbuka imekichukua chama cha CHADEMA miaka ishirini kujijenga na kufikia hapa kilipo kwa sasa. Msitarajie mteremko, kazi ni ngumu. Na je nini tofauti yenu na vyama vingine vya upinzani ambavyo vipo tayari ulingoni? Ni kwa nini hamkuona umuhimu wa kuunganisha nguvu zenu na vyama vilivyo na wabunge tayari ili kumpinga mkoloni CCM? Hamuoni kwa kuanzisha chama kingine mnagawa kura za wapinzani na hivyo kuipa kura ya turufu CCM?

Tiba

Mkuu, usitumie nguvu kubwa kwa haya majitu, ni maccm yanakuja kwa style ya upinzani.
huyo Limbu kutwa kuanzisha vyama, kila chama kikiwa na mgogoro huyo mzee wa TISS anajitokeza kuanzisha.
unakumbuka alivyomtafuta Rashid wa CUF? na sasa kamnasa Zitto.

Cha kujiuliza je ADC ameifikisha wapi? na ACT ataifikisha wapi?

ndio style ya kula kwa bwana Limbu kama humfahamu...
DSC.11.jpg

tTazama bendera hapo, utamjua tu.. MM kashachemka hata kabla hajaanza kazi...
 
acha mambo ya dini jenga hoja

Ni kweli mkuu na pia ni lazima tuhakikishe sisiemu ametoka madarakani na pia utambue adui yetu mkubwa ni sisiemu na wala si chadema waache bavicha wapige zogo ila sisi nguvu zetu tuelekeze kuing'oa ccm
 
Kila la kheri ACT, ua hao chadema waongo na wazushi wakubwa.
 
ACT FOR CHANGE. Karibu katika siasa za ushindani.
 
Back
Top Bottom