Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Huku.......Niguse ninuke..... Kule,------- Sijaribiwi
What about your boss?Lkn umuhimu kutumia lugha ambayo hauiwezi kufikisha ujumbe kama unaweza kutumia lugha unayoielewa na hata walengwa wengi wanaielewa?
Kkkkkk........!Kwanza ccm wote wananuka hata bila kuguswa
Thread tayariMara kadhaa Mheshimiwa Membe anapojibu tuhuma na sintofahamu kadhaa huwa anamalizia na maneno 'NIGUSE NINUKE' ama 'NIGUSWE' Binafsi sielewi ana maana gani?
Kuna mdudu fulani sikumbuki jina lake unaweza ukawa maeneo alipo au akawa kwenye shati lako na usinuse harufu yake ila bahati mbaya ukimgusa, utajuta na hiyo harufu yake kali.
Anasubiri nini kunuka kabla ya kuguswa!
Mara kadhaa Mheshimiwa Membe anapojibu tuhuma na sintofahamu kadhaa huwa anamalizia na maneno 'NIGUSE NINUKE' ama 'NIGUSWE' Binafsi sielewi ana maana gani?
Kuna mdudu fulani sikumbuki jina lake unaweza ukawa maeneo alipo au akawa kwenye shati lako na usinuse harufu yake ila bahati mbaya ukimgusa, utajuta na hiyo harufu yake kali.
Anasubiri nini kunuka kabla ya kuguswa!
sijaribiwi pumzi imekata tayari, ua ua inazidi kumtesa na kumuharibia.Huku.......Niguse ninuke..... Kule,------- Sijaribiwi
Aiseee chalii yangu umesahau kunitag na mimi humu jamvini watu wabaguz sanaAKSANTE MMUU.
Sisi Wamwera tuna mdudu anaitwa " NANDOLI" Anatoa harufu mbaya ukimgusa mpaka kero.
Pili kuna majani yaitwa "NUNGA MAI" ukifikicha au ukigusa yananuka mpaka kero"
Kwa ajili ya harufu yake watu huyakwepa kuyagusa, pia mdudu "NANDOLI" naye hukwepwa kuguswa na watu.
MEMBE KUTUMIA KAULI MBIU "NIGUSE NINUKE "
Anatuma ujumbe kuwa sio mtu wa mchezo , wa ku.chezea.
NADICLARE CONFLICT OF INTEREST Mimi UKANA SHILUNGO NI MWERA , TAFSIRI NILOTOA NI SAHIHI, PIA NI TIMU MEMBE 2020.
Kwa sasa ni Kambini Mbekenyera kambi ya form four maandalizi ya mitihani.
Cc😛ascal Mayala
Cc:Kipara Kipya
Cc:Frank Wanjiru
Missile of The Nation
Nadhani Nunga Mai ni jani la Mmav.mav.!.AKSANTE MMUU.
Sisi Wamwera tuna mdudu anaitwa " NANDOLI" Anatoa harufu mbaya ukimgusa mpaka kero.
Pili kuna majani yaitwa "NUNGA MAI" ukifikicha au ukigusa yananuka mpaka kero"
Kwa ajili ya harufu yake watu huyakwepa kuyagusa, pia mdudu "NANDOLI" naye hukwepwa kuguswa na watu.
MEMBE KUTUMIA KAULI MBIU "NIGUSE NINUKE "
Anatuma ujumbe kuwa sio mtu wa mchezo , wa ku.chezea.
NADICLARE CONFLICT OF INTEREST Mimi UKANA SHILUNGO NI MWERA , TAFSIRI NILOTOA NI SAHIHI, PIA NI TIMU MEMBE 2020.
Kwa sasa ni Kambini Mbekenyera kambi ya form four maandalizi ya mitihani.
Cc😛ascal Mayala
Cc:Kipara Kipya
Cc:Frank Wanjiru
Missile of The Nation
Ni uongo kama uongo mwingine tu wa Kigogo2014. Weka ushahidi sio hizi picha picha tu zisizo na uhalisia mkuuSasa kwani gari haliwezi kuwepo toka mwaka 2013?
Wewe umewekewa picha ili uone Gari inafananaje, wewe unasema kuwa ilikuwa kwenye convoy ya JK
Sasa kuna ajabu gani sasa Gari ya TISS kuwa kwenye convoy ya rais?
He hapo ccm wanaingiaje?Kwanza ccm wote wananuka hata bila kuguswa
Huko ni kijipa false hope. Rais Dkt John hamuogopi mtu yeyote ndani ya nchi hii. Kama unabisha mwambieni huyo membe wenu aende akamjaribu. Then atawasimulia kitakachompata.Membe anaamini kabisa (na ni ukweli usiopingika) kuwa serekali ya awamu hii inamwogopa sana.
kiuhalisia Membe ni wa pili kuogopwa, wa kwanza kuogopwa sana na awamu hii ni Lissu!
Acha porojo mguseni sasa.Unajua maaana ya verified account?
Mkuu jibu unalo wewe mwenyewe umesema huyo mdudu ukimgusa tu utatamani ujikimbieMara kadhaa Mheshimiwa Membe anapojibu tuhuma na sintofahamu kadhaa huwa anamalizia na maneno 'NIGUSE NINUKE' ama 'NIGUSWE' Binafsi sielewi ana maana gani?
Kuna mdudu fulani sikumbuki jina lake unaweza ukawa maeneo alipo au akawa kwenye shati lako na usinuse harufu yake ila bahati mbaya ukimgusa, utajuta na hiyo harufu yake kali.
Anasubiri nini kunuka kabla ya kuguswa!
Unafail chiefGo and prepare again God is not with you evil planners.