Precaution given to a former foreign minister over his trip today

Ni Account ya Membe mkuu

Mtu kuwa na account mbili siyo ajabu, watu wana matumizi tofauti tofauti nazo

Nyingine wanatumia kwa aina fulani ya tweets na nyingine kwa aina nyingine ya tweets ilimradi message zao walizokusudia ziweze kufikia audience wanayoitaka
Yes ni akaunti ya membe

Ila haijawa verified

Sijui umeelewa point yangu sasa ?
 
Leo katika hali ya kushtusha, Waziri wa Zamani wa nje na uhusiano wa kimataifa ameonyesha kuguswa na tahadhari aliyopewa kwenye mtandao baada ya kupewa taarifa kuwa kuna njama za kumdhuru katika safari yake ya kurudi Lindi.
Membe ambaye ni user wa mtandao huo wa Twitter aliujibu ujumbe huo kwa kutoa shukurani nyingi sana ambaye yeye aliita "kutonywa"
Kauli hiyo ya Membe ikajibiwa pia na Mwanasheria na mtoto wa Raisi mstaafu wa Zanzibar, Fatuma Karume "Shangazi"
Mwanasheria huyo akaandika kuwa kama Mti mkavu unatendewa hivi Je Mti mkavu?
Binafsi mimi kama raia nimeshtushwa na tukio hili na hili linaonyesha sisi kama nchi tumefikia hatua gani katika usalama wa wananchi. JE HII HALI YA HOFU NCHINI ITAENDELEA MPAKA LINI

Hapa Chini ni Kauli ya Membe akimjibu mwananchi huyo aliyempa taarifa kupitia kwenye mtandao wa Twitter

Kigogo2014 Asante Kigogo kwa kunitonya. Ni kweli kabisa kuwa safari ya kwenda Lindi imefanyika jana saa 2 usiku. Gari No.T413 CEP ni gari la TISS- (PSU.) Kiongozi wake ameondolewa na kupelekwa kitengo cha madawa ya kulevya.Nina details zote! NIGUSWE..!

View attachment 1195160


View attachment 1195159
View attachment 1195191
Fake News kuanzia accounts za tweeter mpaka gari. Convoy ya JK 2013 ndio unabinua mdomo leo???
 
Nimekuelewa vizuri sana, verification niliyokuwa namaanisha mimi siyo kitiki cha bluu nilikuwa namaanisha Membe kuiown hiyo Account na kuitumia.

Ni kweli anaiown hiyo account
Anhaa hapo sawa chief

Kuna siku aliandika tweet kwamba hii ni akaunti yangu ntakayokua naitumia

Mimi nliifanyia uchunguzi kidogo watu aliowa follow yeye na watu maarufu waliomfollow

Kuona kikwete na kipilimba ku ifollow hyo akaunti

Nkajua this is him !
 
Fake News kuanzia accounts za tweeter mpaka gari. Convoy ya JK 2013 ndio unabinua mdomo leo???

Sasa kwani gari haliwezi kuwepo toka mwaka 2013?
Wewe umewekewa picha ili uone Gari inafananaje, wewe unasema kuwa ilikuwa kwenye convoy ya JK
Sasa kuna ajabu gani sasa Gari ya TISS kuwa kwenye convoy ya rais?
 
Ankali hapiti 2020......Sisi tunaenda na Membe tu....Kigogo ni Ghost kaletwa makusudi...Alidhani Kumuua Ben saa8 ndio itakuwa kamaliza wakosoaji,sasa amtafute Kigogo sasa kama anaweza....Mayagi Mulaga kabashiri weee kakamata watu kibao akidhani ndio kigogo lakini wapi Kigogo2014 yupo 24hrs Twitter.
 
Eti Mh. Membe anaamini maneno ya #Kigogo? Hii huwa inanifanya nijiulize hawa jamaa waliwezaje kufika level hii ya utumishi? kama sio kujitekenya na kucheka basi miaka yote waliyotumikia taifa ili haikuwapa exposure yoyote.

Huu ujinga wa kuamini elimu ya darasani ndio kila kitu, inatuumiza sana watanzania!View attachment 1195170
Kwani wewe huyo #kigogo unamjua anafanya kazi gani serikalini?
 
Eti Mh. Membe anaamini maneno ya #Kigogo? Hii huwa inanifanya nijiulize hawa jamaa waliwezaje kufika level hii ya utumishi? kama sio kujitekenya na kucheka basi miaka yote waliyotumikia taifa ili haikuwapa exposure yoyote.

Huu ujinga wa kuamini elimu ya darasani ndio kila kitu, inatuumiza sana watanzania!View attachment 1195170
KUBWA JINGA"NDABILE"😂😂😃😃😁😁 umejaza matope ubongoni! shame on you!
 
Ujinga huu wa Membe atawapata nyie tu, eti ana fuatiliwa, nani amfuatilie mtu ambae hana effects kwenye jamii? , mwambieni aongeze bidii kujitengenezea matukio.
 
Mara kadhaa Mheshimiwa Membe anapojibu tuhuma na sintofahamu kadhaa huwa anamalizia na maneno 'NIGUSE NINUKE' ama 'NIGUSWE' Binafsi sielewi ana maana gani?

Kuna mdudu fulani sikumbuki jina lake unaweza ukawa maeneo alipo au akawa kwenye shati lako na usinuse harufu yake ila bahati mbaya ukimgusa, utajuta na hiyo harufu yake kali.

Anasubiri nini kunuka kabla ya kuguswa!
 
Eti Mh. Membe anaamini maneno ya #Kigogo? Hii huwa inanifanya nijiulize hawa jamaa waliwezaje kufika level hii ya utumishi? kama sio kujitekenya na kucheka basi miaka yote waliyotumikia taifa ili haikuwapa exposure yoyote.

Huu ujinga wa kuamini elimu ya darasani ndio kila kitu, inatuumiza sana watanzania!View attachment 1195170
Hata Lissu kabla hamjamtandika risas mlitoa kejeli za kipuzi namna hii.
 
Back
Top Bottom