LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 9,211
- 12,716
hatari sana, wakimaliza kwetu watakuja kwenu by lissu
Yes ni akaunti ya membeNi Account ya Membe mkuu
Mtu kuwa na account mbili siyo ajabu, watu wana matumizi tofauti tofauti nazo
Nyingine wanatumia kwa aina fulani ya tweets na nyingine kwa aina nyingine ya tweets ilimradi message zao walizokusudia ziweze kufikia audience wanayoitaka
Wewe ni mjinga Au unaakili fupi hujui hata verified account zinakuaje
Amekuambia?Membe amestaafu siasa wacheni kumlisha maneno
Yes ni akaunti ya membe
Ila haijawa verified
Sijui umeelewa point yangu sasa ?
Fake News kuanzia accounts za tweeter mpaka gari. Convoy ya JK 2013 ndio unabinua mdomo leo???Leo katika hali ya kushtusha, Waziri wa Zamani wa nje na uhusiano wa kimataifa ameonyesha kuguswa na tahadhari aliyopewa kwenye mtandao baada ya kupewa taarifa kuwa kuna njama za kumdhuru katika safari yake ya kurudi Lindi.
Membe ambaye ni user wa mtandao huo wa Twitter aliujibu ujumbe huo kwa kutoa shukurani nyingi sana ambaye yeye aliita "kutonywa"
Kauli hiyo ya Membe ikajibiwa pia na Mwanasheria na mtoto wa Raisi mstaafu wa Zanzibar, Fatuma Karume "Shangazi"
Mwanasheria huyo akaandika kuwa kama Mti mkavu unatendewa hivi Je Mti mkavu?
Binafsi mimi kama raia nimeshtushwa na tukio hili na hili linaonyesha sisi kama nchi tumefikia hatua gani katika usalama wa wananchi. JE HII HALI YA HOFU NCHINI ITAENDELEA MPAKA LINI
Hapa Chini ni Kauli ya Membe akimjibu mwananchi huyo aliyempa taarifa kupitia kwenye mtandao wa Twitter
Kigogo2014 Asante Kigogo kwa kunitonya. Ni kweli kabisa kuwa safari ya kwenda Lindi imefanyika jana saa 2 usiku. Gari No.T413 CEP ni gari la TISS- (PSU.) Kiongozi wake ameondolewa na kupelekwa kitengo cha madawa ya kulevya.Nina details zote! NIGUSWE..!
View attachment 1195160
View attachment 1195159
View attachment 1195191
Anhaa hapo sawa chiefNimekuelewa vizuri sana, verification niliyokuwa namaanisha mimi siyo kitiki cha bluu nilikuwa namaanisha Membe kuiown hiyo Account na kuitumia.
Ni kweli anaiown hiyo account
Fake News kuanzia accounts za tweeter mpaka gari. Convoy ya JK 2013 ndio unabinua mdomo leo???
Kwani wewe huyo #kigogo unamjua anafanya kazi gani serikalini?Eti Mh. Membe anaamini maneno ya #Kigogo? Hii huwa inanifanya nijiulize hawa jamaa waliwezaje kufika level hii ya utumishi? kama sio kujitekenya na kucheka basi miaka yote waliyotumikia taifa ili haikuwapa exposure yoyote.
Huu ujinga wa kuamini elimu ya darasani ndio kila kitu, inatuumiza sana watanzania!View attachment 1195170
KUBWA JINGA"NDABILE"😂😂😃😃😁😁 umejaza matope ubongoni! shame on you!Eti Mh. Membe anaamini maneno ya #Kigogo? Hii huwa inanifanya nijiulize hawa jamaa waliwezaje kufika level hii ya utumishi? kama sio kujitekenya na kucheka basi miaka yote waliyotumikia taifa ili haikuwapa exposure yoyote.
Huu ujinga wa kuamini elimu ya darasani ndio kila kitu, inatuumiza sana watanzania!View attachment 1195170
Sasa yule anayesali karibu na Dstv huwa anenda sali nini?
Hata Lissu kabla hamjamtandika risas mlitoa kejeli za kipuzi namna hii.Eti Mh. Membe anaamini maneno ya #Kigogo? Hii huwa inanifanya nijiulize hawa jamaa waliwezaje kufika level hii ya utumishi? kama sio kujitekenya na kucheka basi miaka yote waliyotumikia taifa ili haikuwapa exposure yoyote.
Huu ujinga wa kuamini elimu ya darasani ndio kila kitu, inatuumiza sana watanzania!View attachment 1195170