M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
hakuna mtu wa CCM atakayemgusa huyo.Mara kadhaa Mheshimiwa Membe anapojibu tuhuma na sintofahamu kadhaa huwa anamalizia na maneno 'NIGUSE NINUKE' ama 'NIGUSWE' Binafsi sielewi ana maana gani?
Kuna mdudu fulani sikumbuki jina lake unaweza ukawa maeneo alipo au akawa kwenye shati lako na usinuse harufu yake ila bahati mbaya ukimgusa, utajuta na hiyo harufu yake kali.
Anasubiri nini kunuka kabla ya kuguswa!
Bashiru alijaribu kugusa alipata stata ya harufu, ameufyata.
sasa hivi wameishia tu kumtumia yule msukule Musiba!