Precaution given to a former foreign minister over his trip today

Precaution given to a former foreign minister over his trip today

Magufuli hatabiriki, anajikomba sana kwa Kikwete na usishangae Ridhiwani kuwa waziri kamili muda wowote. Nani alidhani Mama Salma atateuliwa Mbunge na Magufuli?

Wewe humjui kabisa jiwe. Hajawahi jikomba kwa yeyote. Wana historia yao. Mama Salma mwalimu na mama Janet Mwalimu. Kuna vitu hata wewe unafanya kwa watu wako wa karibu. Kujikomba ni kufanya jambo ili huyo unayemfanyia au Wa Karibu yake akufanyie jambo. Tena Mdogo awe mkubwa. JPM ni Namba 1 tz. Nani Wa kujikomba hapo. We unadhani ukimchokoza huyo kuna mwingine wa kukuokoa? Acheni lugha zenu za Kitoto.
 
Mara kadhaa Mheshimiwa Membe anapojibu tuhuma na sintofahamu kadhaa huwa anamalizia na maneno 'NIGUSE NINUKE' ama 'NIGUSWE' Binafsi sielewi ana maana gani?

Kuna mdudu fulani sikumbuki jina lake unaweza ukawa maeneo alipo au akawa kwenye shati lako na usinuse harufu yake ila bahati mbaya ukimgusa, utajuta na hiyo harufu yake kali.

Anasubiri nini kunuka kabla ya kuguswa!
Nyie MATAGA mguseni SASA muisikie harufu yake
 
Tanzania hakuna shushushu wala kachero mbobezi, narudia tena hakuna, membe sio kachero , na haitakuja tokea akawa na uwezo huo, huwezi kuwa kachero kwa kutegemea maneno ya mitandaoni au kuwa karibu na watu wa usalama ukajiita kachero mbobezi, mwambieni asitupotezee muda .
 
Leo katika hali ya kushtusha, Waziri wa Zamani wa nje na uhusiano wa kimataifa ameonyesha kuguswa na tahadhari aliyopewa kwenye mtandao baada ya kupewa taarifa kuwa kuna njama za kumdhuru katika safari yake ya kurudi Lindi.
Membe ambaye ni user wa mtandao huo wa Twitter aliujibu ujumbe huo kwa kutoa shukurani nyingi sana ambaye yeye aliita "kutonywa"
Kauli hiyo ya Membe ikajibiwa pia na Mwanasheria na mtoto wa Raisi mstaafu wa Zanzibar, Fatuma Karume "Shangazi"
Mwanasheria huyo akaandika kuwa kama Mti mkavu unatendewa hivi Je Mti mkavu?
Binafsi mimi kama raia nimeshtushwa na tukio hili na hili linaonyesha sisi kama nchi tumefikia hatua gani katika usalama wa wananchi. JE HII HALI YA HOFU NCHINI ITAENDELEA MPAKA LINI

Hapa Chini ni Kauli ya Membe akimjibu mwananchi huyo aliyempa taarifa kupitia kwenye mtandao wa Twitter

Kigogo2014 Asante Kigogo kwa kunitonya. Ni kweli kabisa kuwa safari ya kwenda Lindi imefanyika jana saa 2 usiku. Gari No.T413 CEP ni gari la TISS- (PSU.) Kiongozi wake ameondolewa na kupelekwa kitengo cha madawa ya kulevya.Nina details zote! NIGUSWE..!

View attachment 1195160


View attachment 1195159
View attachment 1195191
Kwani huyo anayejiita Namdi Azikiwe Shoo ndio Fatma Karume?
 
Back
Top Bottom