PPF yamfukuza kinara wa kuomba rushwa

PPF yamfukuza kinara wa kuomba rushwa

Status
Not open for further replies.

Kagosaki

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2010
Posts
208
Reaction score
56
Katika gazeti la Guardian ya leo, PPF wametoa tangazo la kumfukuza kazi Bi. Gisella Mhoro. Dada huyu alinin'gang'ania sana mwaka jana tumkatie mafao yetu ili aweze kutoa cheque zetu. Nawapongeza sana PPF kwa kumnasa dada huyu. Mafao ni jasho la mtu, haliliwi hovyo. Natoa mwito kwa PPF wasiishie hapo bali waendelee kuwachunguza wengine.
 
Bado NSSF sasa! watu wanatembea kwenda na kurudi miezi sita!
 
Sasa hapa ndo tutaona ujanja wao mkuu
 
NSSF yupo jamaa mmoja pale ubungo ni balaa ila nasikia amehamishiwa Shinyanga!!Nae alikuwa anaendekeza njaa sana kwa jasho la watu!!
 
Katika gazeti la Guardian ya leo, PPF wametoa tangazo la kumfukuza kazi Bi. Gisella Mhoro. Dada huyu alinin'gang'ania sana mwaka jana tumkatie mafao yetu ili aweze kutoa cheque zetu. Nawapongeza sana PPF kwa kumnasa dada huyu. Mafao ni jasho la mtu, haliliwi hovyo. Natoa mwito kwa PPF wasiishie hapo bali waendelee kuwachunguza wengine.

Makubwa Kafukuzwa na Ijumaa kakamatwa na polisi.adi jana alikuwa anasota rumande jamani omba Mungu asikupe uroho na tamaa ya pesa.Maana huyoo mama alikuwa na kila kitu na mme wake ni mwanajeshi.ila safari hii PPF wamemkamata utamu.28Mls zimuponza.Watatajana vizuri pana chezea pesa za mafao ya watu.
 
hivi jamani, fao la kujitoa limeanza kutolewa niamkie ubungo kesho???? naombeni kujuzwa plzzzzzz
 
Makubwa Kafukuzwa na Ijumaa kakamatwa na polisi.adi jana alikuwa anasota rumande jamani omba Mungu asikupe uroho na tamaa ya pesa.Maana huyoo mama alikuwa na kila kitu na mme wake ni mwanajeshi.ila safari hii PPF wamemkamata utamu.28Mls zimuponza.Watatajana vizuri pana chezea pesa za mafao ya watu.

Kazi ipo hapo kaitaka mwenyewe! Nilimwambia mafao ya uzeeni ni ya mtu husika...Ukila yatakuponza!
 
Hakuna wajinga na wapuuzi kama NSSF Ubungo eti nawadai kadi yangu zaidi ya miezi sita sasa
 
Kazi ipo hapo kaitaka mwenyewe! Nilimwambia mafao ya uzeeni ni ya mtu husika...Ukila yatakuponza!
Ipo kweli na lidandasi limepita 50 out.ila yeye kaondolewa kabla ya lindandasi.mijihelaa ilimnogea jamani na barua ya kufukuzwa kazi alipelekewa home akagoma kupokea.wakamlazimisha na kusaini kupokea.ween unakataa kupokea barua yako mbona pesa za manuva unapokea.
 
TZ ina mambo mazito yaani jasho la mtu mpaka asiyehusika nae alambe kidogo,mmh nchi ya kitu kidogo. Mbaya zaidi mtu anayechukua mafao yake hayatoshi hata kujenga nyumba,kununua gari n.k. Lakini wafanyakazi wa ppf na nssf wanamiliki vitu hivyo kwa rushwa.
 
Wamesahau kwamba huyo Gisella ni sehemu ya mtandao mrefu wa wizi. Kwa kufanya hivyo haitakuwa mwisho. suala hapa ni kuukata mtandao mzima kuanzia chini kwenda juu. Ni sawa sawa na Rais wa nchi anayesema atapambana na mafisadi wakati yeye ni zao ama "product" ya mtandao wa mafisadi na yupo kwa ajili ya kuwatetea na kuwalinda.....Kwa hiyo suala hapo ni kusafisha tuu. Sio longo longo la kutuchezea cheusi chekundu wavuja jasho wa nchi hii..
 
Ipo kweli na lidandasi limepita 50 out.ila yeye kaondolewa kabla ya lindandasi.mijihelaa ilimnogea jamani na barua ya kufukuzwa kazi alipelekewa home akagoma kupokea.wakamlazimisha na kusaini kupokea.ween unakataa kupokea barua yako mbona pesa za manuva unapokea.

Yule mama alikua mroho kweli...Nakumbuka jamaa yangu ambaye nae alikua akifuatilia mafao alisema yule danda angelikua mzuri halafu apende hela kihivyo angemumwambia wakutane Magomeni amtere kwanza halafu ammegee mafao....Lakini muonekano wa yule dada ulimtisha.....Nadhani waliobaki watakuwa na nidhamu. Kwa vile muda wa mafao yangu umekaribia tena, nitakuja nicheck kama kuna kimbelembele aliebaki..
 
So sad nimeona gazeti la mwananchi leo ni bado mdada na mrembo, mh kwakweli imekaa vibaya.
28m si mchezo angepewa miaka 5 zaidi labda angeingia kwenye mapapa na angekuwa deep sea.
Pole dada wamekuwahi kwenye maji mafupi!
 
Yule mama alikua mroho kweli...Nakumbuka jamaa yangu ambaye nae alikua akifuatilia mafao alisema yule danda angelikua mzuri halafu apende hela kihivyo angemumwambia wakutane Magomeni amtere kwanza halafu ammegee mafao....Lakini muonekano wa yule dada ulimtisha.....Nadhani waliobaki watakuwa na nidhamu. Kwa vile muda wa mafao yangu umekaribia tena, nitakuja nicheck kama kuna kimbelembele aliebaki..


Teh teh teh teh Kagosaki utanigawia na mie kidogo pension yako :becky:
 
Wamesahau kwamba huyo Gisella ni sehemu ya mtandao mrefu wa wizi. Kwa kufanya hivyo haitakuwa mwisho. suala hapa ni kuukata mtandao mzima kuanzia chini kwenda juu. Ni sawa sawa na Rais wa nchi anayesema atapambana na mafisadi wakati yeye ni zao ama "product" ya mtandao wa mafisadi na yupo kwa ajili ya kuwatetea na kuwalinda.....Kwa hiyo suala hapo ni kusafisha tuu. Sio longo longo la kutuchezea cheusi chekundu wavuja jasho wa nchi hii..

Nakubaliana na wewe kabisa mtalaam!
 
nssf ubungo wandungu ndo inatisha.
kwanza hapo mapokezi hawana kauli nzuri na wala hawajali wayeja wao.
pia rushwa nimaisha yao.kuna rafiki yangu alinisimulia aliombwa rushwa ma kiongozi mmoja.akapata mafao yake ndani ya wiki moja.
kuna mtandao mpana sana.
ila hata kma serikali haitaki kushughulikia kero hizi,athabu ya Mungu ni kubwa zaidi kwa wala rushwa.
 
jamani mafao yameanza kutolewa niende?? mbona mwanifanyia hivyo mwenzenu? nijuzeni tafadhali!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom